Tatizo mnapigana vyombo,mnafukuza wageniAsante kwa elimu nyumbani kwetu kijijini ni wafugaji nipo kigoma kuna maeneo makubwa sana ya kufugia mbuzi, Aman nitakutafuta ili unisaidie kupata hao mbuzi
Mkuu Malila, hongera kwa kufuga. Mie nina mpango wa kwenda kufuga wilaya moja huko mkoani Tanga. karibu nawe
Mbuzi yoyote yule anaweza kuzaa ndama zaidi ya wawili kutegemea lishe anayopata na kama hana stress.Mkuu hizo mbegu mara nyingi ni genetically modified kama vitu vingine ili tu kukidhi mahitaji ya binadamu. So....sijui unafki wangu unahusika na nini hapa
Hilo nakukatalia. Nimekwishaona local breeds kabisa anazaa wa4 kule Kasulu Kigoma. GMO imetoka wapi kwa mbuzi wa kijijini namna hiyo???
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua.Hakuna kitu kama hicho.Hakuna mafanikio yanayotokana na ushirikina
Nimefanikiwa kusajili shamba (EBENEZER DAIRY FARM) tokea nilipoanza 2008, sasa huu mkopo ninaotafuta ni pamoja na kuweza kununua shamba na kuongeza ng'ombe. Kwani kwa sasa ninafanya ZERO Grazing, lakini idadi ya ng'ombe itakapofikia 10 nitahitaji kuhamia shambani. Kwa sasa nipo Zanzibar na TWIGA BANCORP hawajafungua tawi. Kuhusu mchanganuo wa mradi, hili nitahitaji mtaalamu.
Nimefanikiwa kusajili shamba (EBENEZER DAIRY FARM) tokea nilipoanza 2008, sasa huu mkopo ninaotafuta ni pamoja na kuweza kununua shamba na kuongeza ng'ombe. Kwani kwa sasa ninafanya ZERO Grazing, lakini idadi ya ng'ombe itakapofikia 10 nitahitaji kuhamia shambani. Kwa sasa nipo Zanzibar na TWIGA BANCORP hawajafungua tawi. Kuhusu mchanganuo wa mradi, hili nitahitaji mtaalamu.
Mkuu unaweza kunierewesha juu ys huu ufugaji wa zero grazing..,?
Nipo tayari kaka hata kesho tukutane hiliswala nalithamini sana naamini tutafika ktk umoja huu. Mungu akubariki kwa mawazo hayaKama kuna wanaopenda kufuga wanyama hasa Mbuzi ( wa maziwa,nyama),njooni tuunganishe nguvu tufanye mambo.Inawezekana kabisa tukafuga kwa mafanikio sana. Kila kitu kipo ndani ya uwezo wetu.
I believe together we can go.
Poa,ninakucheck inboxNipo tayari kaka hata kesho tukutane hiliswala nalithamini sana naamini tutafika ktk umoja huu. Mungu akubariki kwa mawazo haya
Nashukuru kwa maelezo yako, hilo la jike kugoma kunyonyesha nalimudu maana hata kwenye Mbwa nailishaipata hiyo changamoto.Mbuzi ni wasumbufu na ukiwa na roho ndogo unaweza kuua mbuzi Kila sku , kama ww ni mvumilivu bas kipimo sahihi ni kwenye kuwalea mbuzi , kama unataka kufuga wengi Sana wanahitaj eneo la kutosha.
Soko ni constant, matatizo mengine
1.Watoto kuzaliwa hawawezi kutembea
2. Mbuzi jike kukataa kunyonyesha
3. Minyoo
4. Ugomvi usku kucha
5. Uharibifu
6. Wana viburi
7. nk
Huyo bado mkuu anahitaji mtaji na mimi sina naanza nahawa kwanza Mungu akujaalia mbele ya safari nitajaribu na huyo.Mbuzi ni mtamu asikuambie mtu, tena awe mkatoliki ndiyo balaa
Ila akichomwa anakuwa mtamu sanaViburi sana halafu hawasikii...
Fujo usiku hasa dume akiwa anataka kugegeda. unaweza usipate usingizi
Kuna beberu langu moja likajifanya janja likataka limgegede dogi langu. Daadeq dogi liligeuka kama Bruce Lee, beberu likachezea makucha na meno ya kutosha. Ili kuliondolea shida na tabu ya kuvumilia maumivu, mimi na jamaa zangu tukaamua tulionee huruma. Likachezea kisu ukapata kitoweo kiroho safi kabisa.Viburi sana halafu hawasikii...
Fujo usiku hasa dume akiwa anataka kugegeda. unaweza usipate usingizi
Hahahah.. [emoji23]Kuna beberu langu moja likajifanya janja likataka limgegede dogi langu. Daadeq dogi liligeuka kama Bruce Lee, beberu likachezea makucha na meno ya kutosha. Ili kuliondolea shida na tabu ya kuvumilia maumivu, mimi na jamaa zangu tukaamua tulionee huruma. Likachezea kisu ukapata kitoweo kiroho safi kabisa
Nadhani yale mabeberu mengine yatakuwa yamepata fundisho
Kiongozi kama una beberu linakuletea usumbufu, usisite kunitafuta ili tupate suluhisho.
Nashukuru sana kwa ushauri nikichinja utapata utumbo π π π πChangamoto ni wakifanya uharibifu kwenye bustani za watu au mazao yaliyoanikwa juani..Jiandae kupewa fain...Jitahidi kuwapa dawa za minyoo itasaidia kukua vyema..