Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Daah! Binadamu tunatesa sana viumbe jamani. Mapacha wanne?
 
Unaweza kuwa na mawasiliano ya mtu yeyote anaeweza kunisaidia
Sina ila ni barabarani tu. kama unatoka Dar ukitaka kuvuka lanchi ya Narco angalia mkono wa kulia kuna bango na barabarani ya kuelekea kituo kilipo.
 
Sina ila ni barabarani tu. kama unatoka Dar ukitaka kuvuka lanchi ya Narco angalia mkono wa kulia kuna bango na barabarani ya kuelekea kituo kilipo.
MKUU NAJARIBU KUKUFATA PM ILI TUTETE JAMBO ILA NAONA KAMA UMEFUNGA PM NAOMBA UNIFATE PM MDOGO WAKO UNIELEKEZE MAANA MAISHA YA KUTEGEMEA MSHAHARA WA UNCLE MAGU YAMENISHINDA MIMI AISEE
 
Dodoma sehemu gani mkuu? Ungetaja na jina la hiyo taasisi. Hapa JF ni mahali pa uwazi na ukweli mambo ya kuficha ficha majina haisaidii
Atakuwa anaizungumzia Tanzania Livestock Research Institute iko jirani na LITA Mpwapwa!
 
MKUU NAJARIBU KUKUFATA PM ILI TUTETE JAMBO ILA NAONA KAMA UMEFUNGA PM NAOMBA UNIFATE PM MDOGO WAKO UNIELEKEZE MAANA MAISHA YA KUTEGEMEA MSHAHARA WA UNCLE MAGU YAMENISHINDA MIMI AISEE
Mkuu hiyo taasisi anayoisema iko Mpwapwa. Ukifika Mpwapwa mjini uliza mtu yeyote akuelekeze LITA Mpwapwa (Zamani LITI Mpwapwa), ukifika hapo waambie.wakuoneshe taasisi ya utafiti wa MIFUGO. Hapo kuna kila aina ya mbuzi Buha, Malya, Gogo white, Toggenburg, Norwegian white, Lindi n.k
 



Nipo kigoma mpk J'2 sema offer yako niingie mtaani, tena Jana nilikuwa nyanza lake kule Burundi ndo wamejaa tele.

Lakini kumbka Mbuzi akizaa watoto wanne ni sawa na wewe umezaa!.[/QUOTE]Nini maana ya akizaa 4 ni kama mimi nimezaa
 
Watoto wanne kwa mbuzi ni sawa na wewe umezaa maana kila baada ya muda utahitaji kuwanyonyesha wale wawili wa ziada,vinginevyo wanakufa kwa upungufu wa lishe
 
Habari wadau nimeanza kufuga mbuzi kwa kununua mbuzi 20 ila ningependa kupata ushauri zaidi jinsi ya kuwatunza,madawa pamoja na chanjo zao.
 
Back
Top Bottom