Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 156
- 173
Salaam kwenu wakuu, ninaomba mwongozo wa namna ya kupata uwakala wa mpesa na tigo pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaaah
Nasubir kuja kusoma comments nami nijifunze
Kumbe, Wakuu njooni sasa jamani mbona kimyaSana tu aisee
Sijawa na capital ya kutosha ila angalau nianze kujifunza njia za kupitia
Mimi ninawezesha uwakala wa Halopesa. Utahitajika kuwa na TIN na kitambulisho unavipiga picha unanitumia whatsapp 0624787850. Kupata mitandao mingine tafuta Wakala mkuu wa mtandao husika katika eneo lakoSalaam kwenu wakuu,ninaomba mwongozo wa namna ya kupata uwakala wa mpesa na tigo pesa.
Asante mkuu nitakucheckMimi ninawezesha uwakala wa Halopesa. Utahitajika kuwa na TIN na kitambulisho unavipiga picha unanitumia whatsapp 0624787850. Kupata mitandao mingine tafuta Wakala mkuu wa mtandao husika katika eneo lako
Karibu sanaAsante mkuu nitakucheck
Hujiulizi why zipo nyingi!?Ila siku izi si zipo nyingi kuna faida kweli
Hivi ina siri gani!?Hujiulizi why zipo nyingi!?
Ila siku izi si zipo nyingi kuna faida k
Asante mkuu,umenipa mwanga.Uwe na Tin namba na leseni tu.tigo 80,000 TSH na voda 140,000 tsh. Tin namba iwe ya biashara siyo ya udereva au ya mshahara.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Gharama yake ni kiasi gani?Mimi ninawezesha uwakala wa Halopesa. Utahitajika kuwa na TIN na kitambulisho unavipiga picha unanitumia whatsapp 0624787850. Kupata mitandao mingine tafuta Wakala mkuu wa mtandao husika katika eneo lako