Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaWengi wanaoondoka Chadema huwa hawaondoki kwa kupenda, huo msumari ndio huwa unawaondosha bila kupenda.
Hawa wamewashika pabaya mwenyekiti anakimbia yeye!
Mkuu naweza kupata nukuu ya katiba ya Chadema inayoonyesha kamati kuu kuwa na uwezo kuteua wabunge wa viti maalumu!?
ingia kwenye tovuti ya Chadema , kila kitu kimo mle , labda kwa faida yako tu ni kwamba KAMATI KUU ndiyo imepewa mamlaka na wanachama kufanya maamuzi kwa niaba ya chama , japo Mkutano mkuu una mamlaka ya kupinga , lakini kinachoweza kupingwa ni mtu aliyeteuliwa , hakitapingwa kifungu cha katiba , kwa mfano Kamati kuu au Mwenyekiti anaweza kuteua Kiongozi , mfano Katibu Mkuu lakini Mkutano mkuu ukamkataa mteuliwa , sasa hapa Mwenyekiti au Kamati kuu hainyang'anywi mamlaka yake bali yaweza kuleta jina lingine kwenye mkutano mkuuMkuu naweza kupata nukuu ya katiba ya Chadema inayoonyesha kamati kuu kuwa na uwezo kuteua wabunge wa viti maalumu!?
Natanguliza shukrani.
Asante kwa ufafanuzi.ingia kwenye tovuti ya Chadema , kila kitu kimo mle , labda kwa faida yako tu ni kwamba KAMATI KUU ndiyo imepewa mamlaka na wanachama kufanya maamuzi kwa niaba ya chama , japo Mkutano mkuu una mamlaka ya kupinga , lakini kinachoweza kupingwa ni mtu aliyeteuliwa , hakitapingwa kifungu cha katiba , kwa mfano Kamati kuu au Mwenyekiti anaweza kuteua Kiongozi , mfano Katibu Mkuu lakini Mkutano mkuu ukamkataa mteuliwa , sasa hapa Mwenyekiti au Kamati kuu hainyang'anywi mamlaka yake bali yaweza kuleta jina lingine kwenye mkutano mkuu
Kusoma na kuelewa kuelewa Ni vitu viwili tofautiAsante kwa ufafanuzi.
Kwa maelezo mafupi kama nimekuelewa. Hakuna kifungu katika katiba ya chadema kinachoipa mamlaka Kamati kuu kuteua wabunge wa viti maalumu.
Ama kwa maneno mengini katibu mkuu Mnyika ameudanganya umma kwa kusema hao wabunge wa viti maalumu lazima wapitishwe/ teuliwe na kamati kuu ya CHADEMA.
Naam mkuu, karibu sana, ebu weka vifungu na ufafanuzi ili sisi wagumu kuelewa tuelewe kirahisi.Kusoma na kuelewa kuelewa Ni vitu viwili tofauti
Mange kimambi.Twende na nani 2025 Shangazi au Amsterdam? [emoji16] [emoji23]
Aliyewehuka ni mleta mada aliyetakiwa kutoa somo kabla!Mkuu umewehuka ?
umeishia darasa la ngapi ?Asante kwa ufafanuzi.
Kwa maelezo mafupi kama nimekuelewa. Hakuna kifungu katika katiba ya chadema kinachoipa mamlaka Kamati kuu kuteua wabunge wa viti maalumu.
Ama kwa maneno mengini katibu mkuu Mnyika ameudanganya umma kwa kusema hao wabunge wa viti maalumu lazima wapitishwe/ teuliwe na kamati kuu ya CHADEMA.
upinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.