My 1month experience in JF

Nitashauri Mods kutoruhusu PMs kwenye jukwaa la mapenzi, chit chat ,Love connect ..Bali wahusika wote waende mtandao kama Badoo, fb nk.
Mnatuchafulia hali ya hewa kwa kubugudhi wageni humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpaka wanajuta kwa mwezi mmoja tu...Tafadhali wazee wa PMs mnakuwa mbwa mwitu kwa ngozi ya kondoo kurarua swala wetu.
 
Inawezekana aisee
 
Ushauri; endelea kujifunza ongeza ujuzi hadi jf ikuzoee na ww uizoee
 
Mkuu maisha ya jf hayana tofauti na maisha halisi ya jamii yetu, kwa hiyo unachopaswa kutambua in kwamba wewe uishi maisha yako, kwa sababu kila mtu ana umuhimu wake katika jamii husika, kama si muhimu kwako ni muhimu kwa mwingine, so don't ignore anybody. Pia katika real life mtaani unaweza kuchagua rafiki/ company kulingana na mahitajio au matakwa yako, pia humu you can be selective too, inawezekana hoja zangu ukaziona hazifai sawa, Ila Luna mwingine ataona zinafaa, that is how life goes.
 
Nashukuru sana kwa udadavuzi huu mkuu
 
JF ni dunia ya kusadikika [emoji1] [emoji1] [emoji1]. Pole, bila shaka ushalizwa tayari.
 
JF ni kila kitu. Kama alivyosema mleta uzi, uongo upo, umbea upo, matusi yapo nk lakini pia elimu nzuri tu ipo, misaada ipo, marafiki wapo, stress free corner ndo penyewe, ni wewe tu kuchambua na kupima yepi yanakufaa. Mimi nikichoka kwa shughuli zangu naingia JF kupata kiburudisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…