Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
- Thread starter
-
- #81
Asante kwa kunielewa mkuuJF ni kila kitu. Kama alivyosema mleta uzi, uongo upo, umbea upo, matusi yapo nk lakini pia elimu nzuri tu ipo, misaada ipo, marafiki wapo, stress free corner ndo penyewe, ni wewe tu kuchambua na kupima yepi yanakufaa. Mimi nikichoka kwa shughuli zangu naingia JF kupata kiburudisho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawaWakija tena waambie wakuje na pm kwangu kujisifia
Mi nashangaa hamnitumii mlivyo na upendeleo!! Mnawatumia wengine hadi wanalalamika khaaah!!!Wee hujawahi kutana na mabalaa huko pyem sista[emoji87] [emoji87]
Ndio uandae na ushauri kabisa wa kunipa kama ulivyomshauri mleta uzi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nausubiri kwa hamu twin
Hahaaaa mfundisheni kuloki mwenzeni, maneno mazuri ya mabazazi yanamchanganyaMi nashangaa hamnitumii mlivyo na upendeleo!! Mnawatumia wengine hadi wanalalamika khaaah!!!
Kwakweli, niliona ule uzi unaomuhusu
HAPANABila shaka ulikuja kutafuta mume
Asante mkuuMkuu kama kuna baya lilikupata,usijali.vumilia na songa mbele.kumbuka wimbo wa neema by msondo ngoma.hata pacha hutokea kutoelewana
JF ni dunia ya kusadikika [emoji1] [emoji1] [emoji1]. Pole, bila shaka ushalizwa tayari.
Ushauri utaupata kulingana na jinsi utakavyojieleza [emoji47]Ndio uandae na ushauri kabisa wa kunipa kama ulivyomshauri mleta uzi
mna zingua sana nyie,Ndo umeelewa hivyo?
Yap true...and ur my truly best friend from JFNaamini wapo marafiki ambao someone can call them friends. I have heard some member narrating their good experiences with JF.
Ohhh! Thanks my friendYap true...and ur my truly best friend from JF