Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
- Thread starter
- #81
Asante kwa kunielewa mkuuJF ni kila kitu. Kama alivyosema mleta uzi, uongo upo, umbea upo, matusi yapo nk lakini pia elimu nzuri tu ipo, misaada ipo, marafiki wapo, stress free corner ndo penyewe, ni wewe tu kuchambua na kupima yepi yanakufaa. Mimi nikichoka kwa shughuli zangu naingia JF kupata kiburudisho