My 1month experience in JF

My 1month experience in JF

kama ulikuja kutafuta mme.mke,mwanamme mwenye nguvu kitandani, mtu mwenye HIV anayetaka mwenza, single mothers wanaotaka wenza basi hapa utakaa sana.hizo ni stori za kujifurahisha hapa JF ila kama ulikuwa na nia ya kupanua uelwa wako katika mambo ya KILIMO, UJASILIAMALI, UJENZI, SIASA,KUTOA STRESS na kubadirishana uzoefu hakuna mahali pengine hapa Tanzania penye jukwaa kama hili na kama hujafanikiwa basi ulikuwa unatafuta hivyo nilivyoorodhesha hapo mwanzo kama Kupata watu wenye mashine kubwa, nguvu za kiume za punda, zengembe kama la kajala, wanawake wanaotaka Serengeti boys hapa unapoteza muda hao unaongea nao wengine inawezekana ni jinsia moja na wewe na wanapambana na vibamia au mabwawa yao
Asante kwa ushauri
 
Habari za Jumapili wanajamvi...
Nimetimiza mwezi mmoja na cku kadhaa toka nijiunge rasmi na JF. Kiukweli nimejifunza mengi, nimekutana na mengi humu ya kukatisha tamaa, kuumiza, kuvunja moyo hata kufikia kujitoa kwa muda [emoji4]

Ila kikubwa nilichojifunza ni kutokuamini kila kilichomo humu, kutokumuamini yeyote humu na zaidi sana usichukulie serious chochote kinachoendelea humu.

Ingia humu soma story ufurahi ama ujifunze jambo basi. PM ni za kupiga story za uongo na kujisifia maisha unayoishi, unachomiliki basi.

Tofauti na JF niliyokuwa ninaiona wakati nikiwa guest member, JF ya watu wenye akili na upeo wa hali juu, watu wenye mawazo na mitizamo ya hali ya juu, [emoji4] kumbe imejaa waongo, wanafiki na waliotayari kuumiza wengine kwa kivuli cha kutojulikana....

Mwisho ninawashukuru sana kwa kunikaribisha na kunifunza humu, naahidi nimejifunza na nitaendelea kujifunza kwamba JF ni dunia ya kusadikika [emoji4] [emoji4]

Have a good weekend and merry early xmass
Yayegemea uko jukwaa gani. Majukwaa ya porojo nyingi ni SIASA, MMU na CHIT CHAT, kwa asilimia ndogo sana majukwaa haya yanakidhi mahitaji yake. Mara nyingi ukiingia majukwaa haya akili iweke nje ya geti la kulog in. Ni kuinjoi tu.
Majukwaa ya inyelligence na mengine yako vizuri.
 
Being single - your ID reflects what happened in PM over the past month

That's how u grow up to be double, no longer single[emoji36]
Don't trust anyone , possibly only your shadow.
Welcome again ... Life is what u experience daily.
NB: don't entertain PMs my dear, there are some wild dogs/ foxes herein JF
Thank u so much mkuu
 
Yayegemea uko jukwaa gani. Majukwaa ya porojo nyingi ni SIASA, MMU na CHIT CHAT, kwa asilimia ndogo sana majukwaa haya yanakidhi mahitaji yake. Mara nyingi ukiingia majukwaa haya akili iweke nje ya geti la kulog in. Ni kuinjoi tu.
Majukwaa ya inyelligence na mengine yako vizuri.
Ndo maana nikasema, nimejifunza. Mwanzoni nilidhani kwny majukwaa yote kuna great minded lkn kumbe sivyo
 
Wewe unajichanganya na hauoni unajichanganya

Unasema usichukulie serious chochote kinachoendelea humu

Hapo hapo unataka kujifunza yanaoendelea humu

Nimekuuliza swali kule hizo Pms mtu anakupm anaanza kukutumia picha za nyumba zake na salio lake benki au inakuaje?
 
Habari za Jumapili wanajamvi...
Nimetimiza mwezi mmoja na cku kadhaa toka nijiunge rasmi na JF. Kiukweli nimejifunza mengi, nimekutana na mengi humu ya kukatisha tamaa, kuumiza, kuvunja moyo hata kufikia kujitoa kwa muda [emoji4]

Ila kikubwa nilichojifunza ni kutokuamini kila kilichomo humu, kutokumuamini yeyote humu na zaidi sana usichukulie serious chochote kinachoendelea humu.

Ingia humu soma story ufurahi ama ujifunze jambo basi. PM ni za kupiga story za uongo na kujisifia maisha unayoishi, unachomiliki basi.

Tofauti na JF niliyokuwa ninaiona wakati nikiwa guest member, JF ya watu wenye akili na upeo wa hali juu, watu wenye mawazo na mitizamo ya hali ya juu, [emoji4] kumbe imejaa waongo, wanafiki na waliotayari kuumiza wengine kwa kivuli cha kutojulikana....

Mwisho ninawashukuru sana kwa kunikaribisha na kunifunza humu, naahidi nimejifunza na nitaendelea kujifunza kwamba JF ni dunia ya kusadikika [emoji4] [emoji4]

Have a good weekend and merry early xmass
HILO NDIYO UNAGUNDUA LEO!!!WENZAKO TULIYAONA NA NDIYO MAANA USIJIHUSISHE HATA NA SUALA LA KUTAFUTA MWENZI HUMU!WATU NI WAONGO MNO NA MBAYA ZAIDI UWE MWANGALIFU USIJE KUTA UNAMCHUMBIA MAMA YAKO MDOGO!!!
 
HILO NDIYO UNAGUNDUA LEO!!!WENZAKO TULIYAONA NA NDIYO MAANA USIJIHUSISHE HATA NA SUALA LA KUTAFUTA MWENZI HUMU!WATU NI WAONGO MNO NA MBAYA ZAIDI UWE MWANGALIFU USIJE KUTA UNAMCHUMBIA MAMA YAKO MDOGO!!!
Sawa, asante. Nimeelezea uzoefu wangu wa muda mfupi niliokuwa humu mkuu
 
Wewe unajichanganya na hauoni unajichanganya

Unasema usichukulie serious chochote kinachoendelea humu

Hapo hapo unataka kujifunza yanaoendelea humu

Nimekuuliza swali kule hizo Pms mtu anakupm anaanza kukutumia picha za nyumba zake na salio lake benki au inakuaje?
Nimesema nataka kujifunza au nimejifunza?

Pia nimesema PM ni sehemu ya kujieleza ulichonacho, unachomiliki nk. Hiyo ni kwa upande wangu nilichokutana nacho mkuu
 
Back
Top Bottom