Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
- Thread starter
- #21
Rudia tena kusoma mkuuKwa maneno yako haya kuna kitu kimekutokea humu jf, hebu weka wazi nini kimekupata maana sidhani mtu bila kukufahamu aje PM kujisifia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudia tena kusoma mkuuKwa maneno yako haya kuna kitu kimekutokea humu jf, hebu weka wazi nini kimekupata maana sidhani mtu bila kukufahamu aje PM kujisifia tu.
Kwa hyo waliopo majukwaa hayo hawana akili za hali ya juu...sasa mtu unashinda majukwaa ya vibuyu Celebrities na MMU hao watu wenye akili na upeo wa hali ya juu utawaonea wapi!
Nashukuru sanaPole sana mkuu kwa hayo yaliyokukuta huko kunako chumbani(PM)
Kuwa mvumilivu JF ni mtandao bora wenye kila aina ya huduma unayoitaka ambayo sehemu nyingine ungeweza kuilipa japo senti 5.
Sawa, asanteKama na wewe sio mmoja ambaye unatumia icho kivuli cha kutojulikana si ungetumia jina lako halisi?
Ndo umeelewa hivyo?ulidhani hapa ndio utatatua shida zako ama ?
Asante kwa ushaurikama ulikuja kutafuta mme.mke,mwanamme mwenye nguvu kitandani, mtu mwenye HIV anayetaka mwenza, single mothers wanaotaka wenza basi hapa utakaa sana.hizo ni stori za kujifurahisha hapa JF ila kama ulikuwa na nia ya kupanua uelwa wako katika mambo ya KILIMO, UJASILIAMALI, UJENZI, SIASA,KUTOA STRESS na kubadirishana uzoefu hakuna mahali pengine hapa Tanzania penye jukwaa kama hili na kama hujafanikiwa basi ulikuwa unatafuta hivyo nilivyoorodhesha hapo mwanzo kama Kupata watu wenye mashine kubwa, nguvu za kiume za punda, zengembe kama la kajala, wanawake wanaotaka Serengeti boys hapa unapoteza muda hao unaongea nao wengine inawezekana ni jinsia moja na wewe na wanapambana na vibamia au mabwawa yao
Yayegemea uko jukwaa gani. Majukwaa ya porojo nyingi ni SIASA, MMU na CHIT CHAT, kwa asilimia ndogo sana majukwaa haya yanakidhi mahitaji yake. Mara nyingi ukiingia majukwaa haya akili iweke nje ya geti la kulog in. Ni kuinjoi tu.Habari za Jumapili wanajamvi...
Nimetimiza mwezi mmoja na cku kadhaa toka nijiunge rasmi na JF. Kiukweli nimejifunza mengi, nimekutana na mengi humu ya kukatisha tamaa, kuumiza, kuvunja moyo hata kufikia kujitoa kwa muda [emoji4]
Ila kikubwa nilichojifunza ni kutokuamini kila kilichomo humu, kutokumuamini yeyote humu na zaidi sana usichukulie serious chochote kinachoendelea humu.
Ingia humu soma story ufurahi ama ujifunze jambo basi. PM ni za kupiga story za uongo na kujisifia maisha unayoishi, unachomiliki basi.
Tofauti na JF niliyokuwa ninaiona wakati nikiwa guest member, JF ya watu wenye akili na upeo wa hali juu, watu wenye mawazo na mitizamo ya hali ya juu, [emoji4] kumbe imejaa waongo, wanafiki na waliotayari kuumiza wengine kwa kivuli cha kutojulikana....
Mwisho ninawashukuru sana kwa kunikaribisha na kunifunza humu, naahidi nimejifunza na nitaendelea kujifunza kwamba JF ni dunia ya kusadikika [emoji4] [emoji4]
Have a good weekend and merry early xmass
Asante mkuu, ubarikiwe sanaPole.. Bado unapitishwa kwenye tanuru la moto thru JF. Utakapoiva utageuka dhahabu.. Utakuwa wiser, with strong heart and good katika kujenga hoja.
Thank u so much mkuuBeing single - your ID reflects what happened in PM over the past month
That's how u grow up to be double, no longer single[emoji36]
Don't trust anyone , possibly only your shadow.
Welcome again ... Life is what u experience daily.
NB: don't entertain PMs my dear, there are some wild dogs/ foxes herein JF
Ndo maana nikasema, nimejifunza. Mwanzoni nilidhani kwny majukwaa yote kuna great minded lkn kumbe sivyoYayegemea uko jukwaa gani. Majukwaa ya porojo nyingi ni SIASA, MMU na CHIT CHAT, kwa asilimia ndogo sana majukwaa haya yanakidhi mahitaji yake. Mara nyingi ukiingia majukwaa haya akili iweke nje ya geti la kulog in. Ni kuinjoi tu.
Majukwaa ya inyelligence na mengine yako vizuri.
HILO NDIYO UNAGUNDUA LEO!!!WENZAKO TULIYAONA NA NDIYO MAANA USIJIHUSISHE HATA NA SUALA LA KUTAFUTA MWENZI HUMU!WATU NI WAONGO MNO NA MBAYA ZAIDI UWE MWANGALIFU USIJE KUTA UNAMCHUMBIA MAMA YAKO MDOGO!!!Habari za Jumapili wanajamvi...
Nimetimiza mwezi mmoja na cku kadhaa toka nijiunge rasmi na JF. Kiukweli nimejifunza mengi, nimekutana na mengi humu ya kukatisha tamaa, kuumiza, kuvunja moyo hata kufikia kujitoa kwa muda [emoji4]
Ila kikubwa nilichojifunza ni kutokuamini kila kilichomo humu, kutokumuamini yeyote humu na zaidi sana usichukulie serious chochote kinachoendelea humu.
Ingia humu soma story ufurahi ama ujifunze jambo basi. PM ni za kupiga story za uongo na kujisifia maisha unayoishi, unachomiliki basi.
Tofauti na JF niliyokuwa ninaiona wakati nikiwa guest member, JF ya watu wenye akili na upeo wa hali juu, watu wenye mawazo na mitizamo ya hali ya juu, [emoji4] kumbe imejaa waongo, wanafiki na waliotayari kuumiza wengine kwa kivuli cha kutojulikana....
Mwisho ninawashukuru sana kwa kunikaribisha na kunifunza humu, naahidi nimejifunza na nitaendelea kujifunza kwamba JF ni dunia ya kusadikika [emoji4] [emoji4]
Have a good weekend and merry early xmass
...unanihadithia sasa!Kwa hyo waliopo majukwaa hayo hawana akili za hali ya juu
Hujaelewa mkuuYaani sijaelewa huko pm kwamba wanakuja tu nakuanza kujisifia kwako kwamba ni wazuri wana mali au vipi?
Hapana sijamaanisha hvyo mkuuyaaan hata cjakuelewa, ina maana kila mada inakuumiza au
Nieleweshe basi mkuuHujaelewa mkuu
Sawa, asante. Nimeelezea uzoefu wangu wa muda mfupi niliokuwa humu mkuuHILO NDIYO UNAGUNDUA LEO!!!WENZAKO TULIYAONA NA NDIYO MAANA USIJIHUSISHE HATA NA SUALA LA KUTAFUTA MWENZI HUMU!WATU NI WAONGO MNO NA MBAYA ZAIDI UWE MWANGALIFU USIJE KUTA UNAMCHUMBIA MAMA YAKO MDOGO!!!
ULICHOELEZA NI UKWELI AMBAO WATU WANAPASWA WAUTAMBUE HATA KABLA YA KUJIUNGA JFSawa, asante. Nimeelezea uzoefu wangu wa muda mfupi niliokuwa humu mkuu
Nimesema nataka kujifunza au nimejifunza?Wewe unajichanganya na hauoni unajichanganya
Unasema usichukulie serious chochote kinachoendelea humu
Hapo hapo unataka kujifunza yanaoendelea humu
Nimekuuliza swali kule hizo Pms mtu anakupm anaanza kukutumia picha za nyumba zake na salio lake benki au inakuaje?
Uko sahihiULICHOELEZA NI UKWELI AMBAO WATU WANAPASWA WAUTAMBUE HATA KABLA YA KUJIUNGA JF