My Analysis on Diamond new Track NUMBER ONE

mojoki

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
1,313
Reaction score
290
Katika songi Jipya la Diamond " Mwisho anamalizia na msemo "Watuache Tulale" Neno ambalo Penny alimwambia Wema by the time wanaongelea issue ya kurekodiwa

The guy knows how to Apply real life events kwenye masongi yake nadhan hiyo ndio sababu yanakua na hisia za kutosha

My take: Diamond anastahili dem mwenye changamoto ( wema type kind of
Lady)...huko atapata mistari ya kutosha na kutuandikia masongi makali zaidi...
 
jamaa anakipaji halisi.... mi hiyo track nimeicheki mara kama 4 hivi leo tu... :smiling:
 
mm leo nimeickiza zaid ya mara .10 na bad cjaikinai kwel diomon ni msani wa kimataifa
 


mtihani wa darasa la saba leo ulikuwaje?
 
we huna mtoto hata wa kusingiziwa ukamuuliza hilo swali, wewe na utu uzima wako sintoshangaa kuskia umekimbia familia kumfuata bwana zanzibari au mombasa unajiita CTU kumbe ni shit U:A S angry:
 

Yani hiyo ndiyo unaiita analysis? Kweli ahule za kata zimeharibu taifa!!
 
we huna mtoto hata wa kusingiziwa ukamuuliza hilo swali, wewe na utu uzima wako sintoshangaa kuskia umekimbia familia kumfuata bwana zanzibari au mombasa unajiita CTU kumbe ni shit U:A S angry:

da mbona umempa bango kubwa aisee....
 
Almasi hana jipya

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

kijana usirudie tena kunipm upumbavu wako...unafanya ujinga halafu unaita analysis...unaijua analysis wewe?
 
Tataribu,
angalia na vituo pia.

we huna mtoto hata wa kusingiziwa ukamuuliza hilo swali, wewe na utu uzima wako sintoshangaa kuskia umekimbia familia kumfuata bwana zanzibari au mombasa unajiita CTU kumbe ni shit U:A S angry:
 
we huna mtoto hata wa kusingiziwa ukamuuliza hilo swali, wewe na utu uzima wako sintoshangaa kuskia umekimbia familia kumfuata bwana zanzibari au mombasa unajiita CTU kumbe ni shit U:A S angry:

Povu ............
 
ukikua utaacha mdogo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…