evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mkuu, believe in JesusMkuuu mimi huwa sisikilizi mizki tofauti na ya gospel so nawajua wengi sana wa south na dunia lwa ujumla kwa marekani mbali ya kirk franklin na Donnie kuna marvin sapp kuna israel houghton kuna tyler tibbet kuna tasha cobbs kuna cece winans kuna nicole kuna juanitha yani list ni ndefu kwa south kuna hawa spirit of praise wananikosha sana kuna omega kuna kgotso kuna sfiso yani wamejaaa
South ni nouma sana hope unamsoma Solly Mahlangu ila pia wapo wazungu wanaojua ku worship kama Paul Wilbur, Don Moen na Michael W. SmithSouth African Songs hapo ndio patamu
Tamu sana mkuuGospel songs ni tamu mno
Mimi huwa naona gospel za kiafrika zime simama, utakuta wimbo si uelewi ila naukubali tuu
[emoji1]
Au hata mwafrika akiimba ndo namuelewa kuliko mzungu
Joyous Celebration-Lord i can feel
Mimi huwa naona gospel za kiafrika zime simama, utakuta wimbo si uelewi ila naukubali tuu
[emoji1]
Au hata mwafrika akiimba ndo namuelewa kuliko mzungu
Joyous Celebration-Lord i can feel
Ahsante bos ntatmtafutamkuu mcheki na jamaa anaitwa vashawn mitchell check song called joy,.chriss tomin nk
Nqubeko ni bonge ya MD nadhani hata Ntokozo mambo yake yana nyooka kwa sababu ya effort za uyu bwana.wakuu kuna album ya jamaa anaitwa nqubeko mbatha hatari sana alikuwa music director wa joyous celebration pia kuna mtu anaitwa vashawn mitchell aliyeimba nobody greater ametoa album kafanya live south africa inaitwa secret place kuna wimbo kapiga na benjamin dube mtamu sana unaitwa siyakudumisa
Iyo redmp3,ndio nn sas!!?ukitaka kudownload audio nenda redmp3 kizuri kula na wenzio aafu utaandika jina la mwimbaji
Hawa jamaa nawaheshim ki noma nomaHawa jamaa ni balaa
Yes namjua Solly Mahlangu, ana nyota ya kupendwa sana SollySouth ni nouma sana hope unamsoma Solly Mahlangu ila pia wapo wazungu wanaojua ku worship kama Paul Wilbur, Don Moen na Michael W. Smith
Haha kumbe tuko wengiI like joyous celebration
Ha ha we acha tu nina ka list languageHaha kumbe tuko wengi
music connects us
Hatuelewi kinacho imbwa moja kwa moja ila tumo tuuu[emoji1]
Joe ni mkubali kwenye spirit of praise 5 , halafu naona wote na Zaza hawaja tajwa kwenye spirit of praise 6, cjui nini shdaHa ha we acha tu nina ka list language
1.Joel mofeleng.
2.zaza na wengine yaani ni show za kufa mtu.
Yaani najitahidi kukua spiritually. Si unajua ujana bila mungu ni bure. Maisha yamebadilika sana sasahivi
Solly anajisemeaga kwenye wimbo wa Obrigado, "....I may not understand it, but I still feel it" and that's what happens to me when am listening South African Gospel songs!Haha kumbe tuko wengi
music connects us
Hatuelewi kinacho imbwa moja kwa moja ila tumo tuuu[emoji1]
Ha ha mie napenda na dress code yako. Yaaani we acha tu.Solly anajisemeaga kwenye wimbo wa Obrigado, "....I may not understand it but I still feel it" and that's what happens to me when am listening South African Gospel songs!
They are really blessed with beautiful voices and they compose touching songs!