Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Yes Siya nadhani Nqubeko mwenyewe ndo alimpeleka JC na nqubeko ndio aliye pendekeza Siya awe MD.kipind anasepanq
nqubeko mbatha ndo ameifikisha joyous cerebration pale ilipo yani........
jamaa yuko vizuri hatar.....
jc wanadogo wao MD anaitwa siyanqoba(siya)....nae yuko vizuri achaaaa
Alipo ondoka Nqubeko nilidhani JC ndo inapotea ila ilivo toka JC 17 nikasema we all need changes sometimes. Maana JC 17,ilikuwa bomba zaidi, Siya mzuri naye
Ila na mrate Nqubeko juu sana ya Siya.
Siya ana mdogo wake anaitwa Bheka anagonga base guitar hatari sanaaa, japo kwa sasa kasha ondoka JC