my birthday,thank u all

my birthday,thank u all

mayenga

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2009
Posts
4,118
Reaction score
1,970
Wakuu,nikiwa natimiza miaka kadhaa siku ya leo,nina furaha kubwa maishani mwangu.Pamoja na malezi ya watu wangu wa karibu,Watu wote wa Jf,wake kwa waume mmeyabadilisha maisha yangu.Ni mizigo mingi nimetua hapa na kupata ufumbuzi.Ni masahibu mengi nimepata lakini hapa limekuwa jokovu la faraja.Nawashukuru nyote na ninawapenda sana.Mungu awabariki nyoote na kuwajalia kila hitaji muwekalo mbele yake.Ujumbe wangu kwenu ni kuwa:MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU.
 
Mkuu Mayenga hongera saana kwa kutimiza hio miaka kadhaa na mimi napokea
shukrani zako kwa sie ambao ni your fellow members.....
Mwenyezi Mungu akujalie, akubariki na kukupa
maisha marefu yalo bora and fulfilled.
Kila la kheri on this speacial Day....

:A S 465:....HAPPY BIRTHDAY....:A S 465:
 
Hongera kwa kusherehekea kumbukumbu ya siku yako ya kuzaliwa,mshukuru Mungu kwa kila siku ipitayo kwako.
Mungu akubariki, akuongezee mafanikio,apunguze shida zako na uwe na amani leo,kesho na siku zote za maisha yako.
 
Before the clock strikes twelve let me take the opportunity to let you know that you have grown a year more...
Happy birthday Mayenga...
 
happy b_day mkuu,..Mungu akuongezee miaka na faraja
 
Happy birthday mkuu.................. uishi miaka mingi kama kichuguu
 
Back
Top Bottom