Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ilianza kama utani lakini sikujua kama itatokea siku nita fall in love na wewe,wala sikuwahi kuwaza kwamba utakuja kuziteka hisia zangu
Wakati mwingine huwa napotezea lkn ukweli unabaki pale pale kwamba hakika moyo wangu umekupenda,,naweza kuyadanganya mawazo yangu lkn si moyo wangu
Hatujawi kuonana lkn hisia zangu na moyo wangu unaniambia kuwa wewe ndio mtu pekee ambaye ni sahihi kwangu,,haijalishi kama nina mahusiano huku nje ya jf lkn linapokuja swala la kuwa ndani ya jf basi wewe ndio mtu pekee ambaye hupenda kuona comment zako na id yako
Sitojali kama una mahusiano nje ya jf,,kikubwa ukiwa ndani ya jf basi ningependa niwe ulimwengu wako,niwe furaha yako na niwe liwazo lako
Sitojali kama tutakuja kuonana au laa,,,kikubwa ni mimi kukupenda wewe tu,,,huwa nafurahi pale ninapo kuona online
Haijalishi ucheshi kiasi gani ninao kwa watu wengine wenye jinsia kama yako lkn deep down najua ni wewe pekee ambaye moyo wangu umekutunuku,,na kibaya zaidi siwezi kuudanganya moyo wangu juu ya upendo wangu kwako
Kwa wadau wengine wanaweza kushangaa inakuwaje nampenda mtu ambaye sijamuona,,jibu ni moja tu nahisi kuna chemistry kubwa juu yako na kuna bond kubwa kati yetu
Ninachoamini siku zote moyo unaona mbali sana kuliko macho yetu haya,,na moyo unahisi yale ambayo kwa mtazamo wa kawaida hatuwezi kuyaona
Haijalishi kama unahisi kama vile ninavyo hisi mimi,,kikubwa ni vile ninavyo hisi mimi juu yako,,najisikia raha kukupenda wewe na kukuwaza wewe
Kama kuna kipindi katika maandishi yangu nilitokea kukuuzi wewe kwa namna yoyote na kuumiza hisia zako naomba kukwambia am so sorry kipenz
Hope utaelewa kwa mapungufu yoyote ambayo yamejitokeza,,,haijalishi utachukua muda gani kuyatafakari maneno yangu,,kikubwa nitakuwa tayar kuwa na subira siku zote
Ninacho hitaji is to love you my brown sugar!
Ni hayo tu!
Wakati mwingine huwa napotezea lkn ukweli unabaki pale pale kwamba hakika moyo wangu umekupenda,,naweza kuyadanganya mawazo yangu lkn si moyo wangu
Hatujawi kuonana lkn hisia zangu na moyo wangu unaniambia kuwa wewe ndio mtu pekee ambaye ni sahihi kwangu,,haijalishi kama nina mahusiano huku nje ya jf lkn linapokuja swala la kuwa ndani ya jf basi wewe ndio mtu pekee ambaye hupenda kuona comment zako na id yako
Sitojali kama una mahusiano nje ya jf,,kikubwa ukiwa ndani ya jf basi ningependa niwe ulimwengu wako,niwe furaha yako na niwe liwazo lako
Sitojali kama tutakuja kuonana au laa,,,kikubwa ni mimi kukupenda wewe tu,,,huwa nafurahi pale ninapo kuona online
Haijalishi ucheshi kiasi gani ninao kwa watu wengine wenye jinsia kama yako lkn deep down najua ni wewe pekee ambaye moyo wangu umekutunuku,,na kibaya zaidi siwezi kuudanganya moyo wangu juu ya upendo wangu kwako
Kwa wadau wengine wanaweza kushangaa inakuwaje nampenda mtu ambaye sijamuona,,jibu ni moja tu nahisi kuna chemistry kubwa juu yako na kuna bond kubwa kati yetu
Ninachoamini siku zote moyo unaona mbali sana kuliko macho yetu haya,,na moyo unahisi yale ambayo kwa mtazamo wa kawaida hatuwezi kuyaona
Haijalishi kama unahisi kama vile ninavyo hisi mimi,,kikubwa ni vile ninavyo hisi mimi juu yako,,najisikia raha kukupenda wewe na kukuwaza wewe
Kama kuna kipindi katika maandishi yangu nilitokea kukuuzi wewe kwa namna yoyote na kuumiza hisia zako naomba kukwambia am so sorry kipenz
Hope utaelewa kwa mapungufu yoyote ambayo yamejitokeza,,,haijalishi utachukua muda gani kuyatafakari maneno yangu,,kikubwa nitakuwa tayar kuwa na subira siku zote
Ninacho hitaji is to love you my brown sugar!
Ni hayo tu!