Labda ni AzizkiiiiIsijekuwa mtibwa sugar sports club🙄
Nilishasema JF kuna pisi mbili tu...wengine wote mafundi gereji periodttt...😅😅😅😅😅Ndio mimi my lavu, ile ni id yangu nyingine.....tuhamishie mapenzi yetu kwenye id hii
Tunauza vipuli bei ya jumla na rejareja 🤣🤣🤣🤣Nilishasema JF kuna pisi mbili tu...wengine wote mafundi gereji periodttt...😅😅😅😅😅
Huu mwandiko ni wa zee la ulanga mererani....hamna pisi hapa 😅😅😅😅😅😅😅Tunauza vipuli bei ya jumla na rejareja 🤣🤣🤣🤣
Jf pisi ni mbili tu na zinalog in mara chacheHuu mwandiko ni wa zee la ulanga mererani....hamna pisi hapa 😅😅😅😅😅😅😅
Wengine wote tumejityuliza tu....upande mmoja ukilemea tunaupa support.....😅😅😅😅😅Jf pisi ni mbili tu na zinalog in mara chache
Nipo kipenziNimeangalia last seen ya brown sugar ni saa 2:32 usiku
Tujipe moyo atakuja kujibu🤸
Login kwa ID yako ya brown sukari umjibu kijanaEeeeeh jamani!!!
Tatizo nitapeperusha ndege wengi🤣🤣🤣Login kwa ID yako ya brown sukari umjibu kijana
Ohooo! hadi humu una matawi, we nenda wakikuacha utakua suria languTatizo nitapeperusha ndege wengi🤣🤣🤣
Matawi muhimu, kwa ustawi wa jamii.Ohooo! hadi humu una matawi, we nenda wakikuacha utakua suria langu
Haya bn we diversify uwekezajiMatawi muhimu, kwa ustawi wa jamii.
Mmh wewe Evelyn Salt hisia zangu siku zote zinaniambia wewe ni mwanaumeNdio mimi my lavu, ile ni id yangu nyingine.....tuhamishie mapenzi yetu kwenye id hii
Ukiwemo wewe fundi ac period 😂😂Nilishasema JF kuna pisi mbili tu...wengine wote mafundi gereji periodttt...😅😅😅😅😅
Kiukwel sio mara ya kwanza kukosana,,,kuna kipindi tulipishana tukawa sawa tenaKila la kheri mwenetu mkipatana usisahau kuja kutunyoosha sisi tunaokufa na tai shingoni