Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Pambana chaliang huwezi jua labda ndo uliyeandikiwa kutoka juuKiukwel sio mara ya kwanza kukosana,,,kuna kipindi tulipishana tukawa sawa tena
Hope this time itakuwa hivyo pia
Tupo na habari hatupati.....Ukiwemo wewe fundi ac period 😂😂
Lolote linawezekana chief,,,pamoja sanaPambana chaliang huwezi jua labda ndo uliyeandikiwa kutoka juu
Neno moja kwake kwa maza wako,,mwambie dingilade haelewi kbs yaan😂😂Tupo na habari hatupati.....
Sema faza unatupa vesi siku izi sio kitoto. Maza akubali bas mambo yasiwe meng tupate mlezi....
Mumy wallah uko makini 😂😂Nimeangalia last seen ya brown sugar ni saa 2:32 usiku
Tujipe moyo atakuja kujibu🤸
Eti Etugrul Bey Wewe ni jike au dume?Hivi Etugrul Bey ni dume au jike? 😳
Ni mwanamke wa shoka ndugu yangu.Mmh wewe Evelyn Salt hisia zangu siku zote zinaniambia wewe ni mwanaume
Maandishi yake mara nyingi hayana ufemale kabisa,,,nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama ni mwanamkeNi mwanamke wa shoka ndugu yangu.
Tokea enzi hizooo ni mwenye comment zinazokuacha na maulizo na mshangao!Maandishi yake mara nyingi hayana ufemale kabisa,,,nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama ni mwanamke
Jamani boo kuna mtu anaturoga si buureeeMmh wewe Evelyn Salt hisia zangu siku zote zinaniambia wewe ni mwanaume
Sana yaan na kama ni mwanamke basi ni tom boyTokea enzi hizooo ni mwenye comment zinazokuacha na maulizo na mshangao!
Nitafsirie mkuu sijui kingerezaThis one goes to all sweet ladies out there,,,wakiongozwa na mumy ephen_
And is one of my good old school song
View: https://youtu.be/gSlLFx2U4qo?si=jPZxSvzwxcTKcgIt
Hayo maneno raha yake uyasikie kama yalivyo mumy,,ila unazingua😅😅Nitafsirie mkuu sijui kingereza
Kiingereza shida mwenzako, siunajua mambo ya kukimbia shuleHayo maneno raha yake uyasikie kama yalivyo mumy,,ila unazingua😅😅
Oyaa bro hutaki konakona 😂😂😂I love you too, boo naomba hela nikasuke......