My Brown Sugar

hivi mnakuwaje mnapata na wachumba humu noma sana mkuu, Hongera sana, Mimi zombi sijui
 
hivi mnakuwaje mnapata na wachumba humu noma sana mkuu, Hongera sana, Mimi zombi sijui
Inawezekana hata kwako pia mbona, kupitia comments na maongezi ya hapa na pale huku majukwaani,mnajikuta mnaenda sawa mwisho wa siku mnakuwa close
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…