My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Haahaha siku hizi hata mimi sitombe..i shida....napiga juu juu nasepaa na ndio siri kubwaa ya kua salama hadi leo hii la sivyo ningeshaukwaa miaka 13 nyumaa[emoji1787][emoji1787]
Baba hio ndio kanuni ujue! Kula maini kitozi tu life tamu sana mzee bora tukutane na visukari huku baadae ila sio kuanza kula minjingu ujanani 🤣
 
Kama alileta uzi ule wa kutotosheka na kubinjuana kwa nia njema na kama raia walikimbilia kupona baada ya uzi huu amini usiamini patakuwa na ugomvi kubwa sana kuwa alikusudia kupata mtandao kimakusudi
Seems uzi ulikugusa sana
 
Nafikiri hiyo ni tafsiri yako tu, hakuna mahali nimeshabikia wala kuongelea kwa ubaya, nimemuuliza sabsbu nimeona amekomenti nyuzi zote mbili.
Unajua vyema sina bifu za kijinga
 
Ngoma ipo kila sehemu mzee sio jf tu...demu wa jf ndio tupo nao mtaani, yani niogope kuopoa pisi humu kisa ngwengwe..lakini ukienda sehemu ya starehe unabebaa
Mkuu mbona umepaniki?
 
Baba hio ndio kanuni ujue! Kula maini kitozi tu life tamu sana mzee bora tukutane na visukari huku baadae ila sio kuanza kula minjingu ujanani [emoji1787]
Mkuu hujishtukii?? Huu unaofanya ni usenge, tena usenge daraja la kwanza... someone is in serious trouble ww unaenda sheherekea hapo hapo nyumbani kwake zaid ya lisaa sasa, acha upuuzi
 
Mkuu hujishtukii?? Huu unaofanya ni usenge, tena usenge daraja la kwanza... someone is in serious trouble ww unaenda sheherekea hapo hapo nyumbani kwake zaid ya lisaa sasa, acha upuuzi
We jamaa ni kumma ujue, af wayback naonaga una michongo ya kuleta shobo za kiwaki ila nakuchuniaga tu! Serious trouble inahusiana vipi na mie kuchat na wana? Kama pole tushampa mbona unakuwa kama unachochwa arifu?
 
We jamaa ni kumma ujue, af wayback naonaga una michongo ya kuleta shobo za kiwaki ila nakuchuniaga tu! Serious trouble inahusiana vipi na mie kuchat na wana? Kama pole tushampa mbona unakuwa kama unachochwa arifu?
Take it easy budda
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…