Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Acha umbeya
Nyie ndo mnafany watu washindwe kuongelea matatizo yao KWA tafsiri zenu.
So mnahisi uzi niliweka kutafuta mwanaume?
Mtaani wamekosekana?
Kama yupo mwanaume niliemjibu pm juu ya ule uzi aje aweke wazi
If that will make you a man enough.
Kwakweli now mkweli hornet...hujui unyanyapaa inaanzia zaidi hapa jf. .Bora umemjibu...nimesoma comments zake Sana kwa kina kwakweli nikabaki naumia tu moyo...yaani imekua kosa ghafla .! Watu jamani