Wengi hawaelewi kuwa hapa kuna nyuzi 2 zinajadiliwa, wadakia juu juuUtaambiwa mnyanyapaa ohoo
Naelewa hiloJus a joke tu
Hutajibiwa na unalazimishwa kuamini upoIla huu ugonjwa bana. Kwa nini hao virusi wenyewe huwa hawaonekani katika vipimo kama hawa wa Korona na virusi vinginevyo? Kuna ishu gani hapa?
Endelea kumba msamaha mpaka ukubaliwe mkuuSiwezi kutaka suluhu na kivuli, una haki kuelewa sawa na ufahamu wako lkn huwezi kunilazimisha kama utakavyo
Amenrusha kipindi sana huyo jamaa! Unajua nikogi cool ila huwa sipendagi mtu anletee mambo ya kishoga kabisa.Ahaaahaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
We jamaa una mitusi si ya nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Hilo sahau kabisa, mimi ni mwepesi kuomba msamaha kwenye makosa lakini sio hili la kulazimishwa, hapa tulikuwa tukijadili jambo lingine lakini watu hawakuelewaEndelea kumba msamaha mpaka ukubaliwe mkuu
Ndipo mbinu ya mabeberu ilipo hapo, unakula minjingu unakufa na Cancer!Ila huu ugonjwa bana. Kwa nini hao virusi wenyewe huwa hawaonekani katika vipimo kama hawa wa Korona na virusi vinginevyo? Kuna ishu gani hapa?
Hahahah yani acha tu, japo ndio kinapendwa na wengi ila nilijifunza kuwa kujimwambafai kiunoni kwa manz sio ishu.Shukuru una kiba100 ungekoma
Wachana nao
They think they're too perfect and smart.
HahahaAmenrusha kipindi sana huyo jamaa! Unajua nikogi cool ila huwa sipendagi mtu anletee mambo ya kishoga kabisa.
Wanaume au madalali?Au alikuwaga anavaa kigodoro? [emoji23][emoji23]
Pole yake wanaume siyo watu wazuri[emoji9]
Kujifanya unajua miuno ya Gwajiboy[emoji1787][emoji1787][emoji28]Hahahah yani acha tu, japo ndio kinapendwa na wengi ila nilijifunza kuwa kujimwambafai kiunoni kwa manz sio ishu.
mambo ya REA sio kitoto ujue,uneza kuanza kula luku kwa njia ya vidonge 🤣🤣🤣Kujifanya unajua miuno ya Gwajiboy[emoji1787][emoji1787][emoji28]
Kuna pisi napambana nayo pm huko inaelekea kuchomoa nimeambia ije na vipimo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jwa hiyo wanaume wa humu mnaamuaje?
Hamna kikao leo?
Uzuri sijawa alone kuliona hili..kila la heri bossUnajua mada 2 zimeingiliana tatizo hamjaelewa ila mmekuwa judgmental
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe hapa leo hubanduki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila pambana tu huko pmKuna pisi napambana nayo pm huko inaelekea kuchomoa nimeambia ije na vipimo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]