[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]*****yaliyomoyamo mwaree?
Hazard fc vipi shem anaendeleaje na gym? Msisitize sana asikose hata siku moja, unajua maumivu ya mguu ukiyachukulia poa unashangaa kila siku kuchechemea
Mzima habari yakoJirani mzima?
Hahahahaha hornet anajipa mawazo tu vinakoseagaWewe vipimo ni vibovu
Wewe tena kwa rangi nyeupeHakika wewe ni mrembo na unavutia sana..
Mwenyekiti bado unapumua?Hakika wewe ni mrembo na unavutia sana..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha tuWewe tena kwa rangi nyeupe
Kunani cheupe mlito. Mwinuka zezeKhaaaa
Twinuke vyedi mghoshiKunani cheupe mlito. Mwinuka zeze
Una habari avatar yako nimeweka kwenye archives yangu. Mgoshi utaniuaTwinuke vyedi mghoshi
Weeeh sema kweli we mzeeUna habari avatar yako nimeweka kwenye archives yangu. Mgoshi utaniua
Ni hataiiWeeeh sema kweli we mzee
Kuvunjika kwa koleokufa kwa kole sio mwisho wa uhunzi
Chukua tahadhari tumia kinga