My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Kweli mie nilikia mmoja wao
Ila sasa hivi nina adabu zote hata tupime kinga muhimu mpk naulizwa kwani unaogopa nini kavu
Sina imani tena na mtu,
Kuna siku demu ananiambia Condom inamuumiza, akashauri tuvue tutumie lubes nikasema bora nilale... never
 
hakuna kitu kinachoitwa HIV ni propaganda tu za wazumgu.fanya mambo uako endelea na maisha yako usije ukadanganyika ukaingia kwenye mtego wao wa kuw mteja wa kudumu wa vile vidonge
Deception
Be careful...
 
Kuna siku demu ananiambia Condom inamuumiza, akashauri tuvue tutumie lubes nikasema bora nilale... never

Acha uoga wewe! Watu tunauza mechi kila siku na bado Mungu anatunusuru! Unadhani utaishi milele hapa duniani? Yaani unakula pipi na maganda yake! Utaonaje utamu sasa!!!

Kuna magonjwa lukuki unayoweza kuyapata hapa duniani na yakakuondoa kibabe na pasipo kutarajia! Achilia mbali ajali, kuvamiwa na majambazi, watu wasiojulikana, kurogwa, nk.
 
Pole mkuu..

Unaweza ukawa careful unatumia condom,ila siku moja ukajiachia tu, ndio siku hio hio unaupata...

Vitu vingine naona kama fate vile.
 
Huu uzi niliusoma nikatoka sababu nahisi kama unatudanganya.

Kama ni Kweli basi Hongera sana kwa ujasiri wewe ni mmoja katika wachache walio na ujasiri huu.

Mungu akusimamie mama
 
Lile grupu lenu la man utd bado lipo na yule jike dume bado analiongoza? Maana kabla hujawekwa humo kuna grupu wanakuweka unakaangwa na maswali ukiweza kuyajibu umepita....
[emoji38][emoji38][emoji38] Nani wewe
 
Madem wanaopenda kutiana huwa n watamu balaaa..

Ngoja nianze mchakato Kwa mleta mada
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom