EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #241
Asante mkuuMkuu ukiwa mtu mzima hauitwi yatima, yatima ni kwa watoto wadogo ambao wamefiwa na wazazi wao, kama mtu unachezea keyboard humo mtandaoni sio yatima! pole kwa kufiwa ila usjiite yatima.
Ndio wanadam haoMtoto halali na hela umeweka reaction ya kucheka kiukweli sijskuelewa.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Mkuu nimerekebieha natumaini niliweka kimakosa, Asante kwa kunijuza
Yes I did and I'm so happyPole Sana,did you manage to tell him that you loved him???
[emoji1756][emoji1756][emoji1756] pole sana mkuuPole sana mkuu! Mungu akutie nguvu. Hauko pekee Yako katika njia unayopita, pamoja na jitihada kubwa tulizofanya ni week ya 3 sasa tangu Mzee wetu atangulie mbele za haki, mpaka sasa siamini naiona kama ndoto. Kufiwa kugumu hakuna uzoefu!
Pole sana mkuu[emoji24]Dah! Hii thread imerudisha chozi langu upya! My big man..[emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu, familia na ndugu wote, Mungu awafariji wote, haizoeleki hata kidogo hii kitu!!!
Pole mkuuPole sana ndugu, binafsi nina miezi kadhaa toka nimpoteze mzee wangu, kuna moment huwaga namkumbuka snaa adi chozi linantoka,,Hakika wapumzike kwa amani wazazi wetu wote walotangulia mbele ya haki!
[emoji1317][emoji1317][emoji1317]Poleni sana Familia
Sorry mkuu sikuwa makini ku select reaction ila afadhali kanijuza nikabadiliNdio wanadam hao
,[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Sorry mkuu sikuwa makini ku select reaction ila afadhali kanijuza nikabadili
Pole sana, mungu awatie nguvuTumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I lost my mother 4th February this year and today is 4th
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Now I ain't got nothing to lose
Pole sana..MUNGU akupatie FARAJA.Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now?
I lost my mother 4th February this year and today is 4th
I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo
Now I ain't got nothing to lose