My dream man!! Je wewe kaka una sifa hizi?

Hivi naombeni kuuliza wajameni..Kupenda mtu anaamua au hutokea tu bila mtu kupanga wala kujijua? na hivi ikitokea uliyempenda anapendwa na wanawake/wanaume wengi unaacha kumpenda huta pambana ili awe wako?

cku hz naona watu wanatafuta mwenzi na si mpenzi! mi nafkr mapenzi huja naturally hakuna vigezo wala kipimo
 
nami natafuta mwenza
Asiwe mnene asiwe mwembamba, aliyekuwa hakufika chuoni, kwani atajuwa siri zangu, ambae ameshaishi kijijini
 
we mosha ww! mama yake matesha utamwacha?
Mosha tena?

Kumwacha mama matesha itakuwa ngumu. Kama huyu mtu anataka kuwa spare, hilo ntalifikiria. Itategemea na kiwango chake lakini.
 
mie nilijua umeweka picha bana tumuone alivyojazia jazia kifuani na alivyo handsome......kumbe unatafuta hapa JF,kazana mwaya ...

Roselyne1
hizo sifa unazohitaji wewe (Hapo kwenye nyekundu) mimi ninazo, maana naona zako ni tofauti kidogo na za Tausi Mzalendo, sasa sijuhi niku PM ama? please advise
 
Utaozea nyumbani eti unatafuta wanaume wenye sifa hizo. wewe una sifa gani by the way? Nyie ndo wale mnaolewa leo mnataka kubadilishana tabia ndani ya usiku mmoja.

Nakushauri uchukue mwanaume yule atakayekuwa amekupenda, na usiwe mpekuzi wa kutaka yake.

Enjoy dada. Sorry kama nimekuudhi kwa hili.
 
Mi zote ninazo kasoro moja tu. Namba 4. Je nilete CV na picha Tausi?
 
Duh ! hii ni bahati yangu mimi nilijua nina kilema kumbe upo anaye nitafuta nipe mimi shavu hilo nami nionekane mwanamume:mad2:
 
mie nilijua umeweka picha bana tumuone alivyojazia jazia kifuani na alivyo handsome......kumbe unatafuta hapa JF,kazana mwaya ...

hivi vifua mbona mwaka huu.....!:drum:
 

Ninazo lakini ndo bahati mbaya tena washakuwahi!
 
Saitama_kein ana zote bahati mbaya umechelewa kidogo nilikwisha tangaza kutafuta mchumba humu ndani hivyo sifa namba 2 sina.....naweza kuleta CV?? Huwezi jua ati.....
 
Hivi naombeni kuuliza wajameni..Kupenda mtu anaamua au hutokea tu bila mtu kupanga wala kujijua? na hivi ikitokea uliyempenda anapendwa na wanawake/wanaume wengi unaacha kumpenda huta pambana ili awe wako?


GS...Umesema kitu cha maana.Kupenda kunatofautiana baina ya mtu na mtu.Kuna kupenda umuonapo mtu mara moja..Love at first sight; Kuna kupenda kunakotokana na mchakato fulani - huku huja pole pole..... kuna ulafi/matamanio ya muda mfupi..infatuation - haya ni mapenzi ya nguvu ya soda na utafanya makosa sana kuoana na mtu ukiwa umekumbwa na penzi hili utajuta sana.

Mapenzi huweza kuishia kwenye ndoa au kuisha tu bila ndoa.Kama nia ni ndoa basi mtu nadhani huna budi uwe na vipimo vya yule unayetaka kuishi naye maisha yako yote.Kuanzia tabia za mtu, na hulka nyingine.Tabia ni kitu muhimu sana maana kama mtu ana tabia zisizokubalika kama malaria ujue mwisho wake ni mbaya.

Huyu Bibie Tausi, japo kaja na mada yenye mzaha ndani yake, huenda ana kitu anataka kutufundisha.Hebu tuendelee kusoma labda tutakielewa.Namtakia kila la kheri kwenye zoezi hili la kujipatia mwenza wa maisha.
 
Roselyne1
hizo sifa unazohitaji wewe (Hapo kwenye nyekundu) mimi ninazo, maana naona zako ni tofauti kidogo na za Tausi Mzalendo, sasa sijuhi niku PM ama? please advise

Mkuranga kwetu tunaamini figa moja haliinjiki chungu atiii.....kama umejazia jazia kibaunsa baunsa hivi holla back!....:hug::hug:
 
in public i b'liv you get to know a person even better,besides wengine tumezoea kuonyesha affections in public!

and how can you consider lying to me,knowing so and so knows about you,and probaby will tell me your lies???

Y wud so n so tell u nthng abt sum1?????????...........................
 

Mind u yuko sirias huyu we unadhani ana mzaha kha............
 
Saitama_kein ana zote bahati mbaya umechelewa kidogo nilikwisha tangaza kutafuta mchumba humu ndani hivyo sifa namba 2 sina.....naweza kuleta CV?? Huwezi jua ati.....

Kwa hyo man we hupendwi na wanawake wengi basi utakuwa na matatizo c kdogo maan kama inafikia hatua unakuwa una uhakika kuwa hupendwi na wanawake wengi ........ I am speechless
 
Mkuranga kwetu tunaamini figa moja haliinjiki chungu atiii.....kama umejazia jazia kibaunsa baunsa hivi holla back!....:hug::hug:

Hata huko mkuranga hawajitangaz sugar au ndo umekolea sanaaaaaaaaa
 
Y wud so n so tell u nthng abt sum1?????????...........................

and why wouldnt they....????

if they see is for somebodys' interests ofcoz...!

yes,there are people outhere who 'cares' that much!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…