Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
You are not very serious! Have you ever heard of theory of relativity?
Mwenye pesa kuzidi......kumzidi nani? Slaa, Bill Gates?....
Mwenye akili nyingi sana.....kuliko nani? Einstein?....
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
-sipendi kushindania mwanaume(in love and war all is fair,ukipenda kiukweli utapambana usipoteze)Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
sipendi kushindania mwanaume
sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
sipendi kushindania mwanaume.... So unaogopa ushindani..una-viwango duni
sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke..... Kitu kizuri kula na nduguyo so wewe ni mchoyo maana hata mama yake mzazi na dada zake wasimpende..hovyoooo
sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi[/u]...pesa za kuzidi kiasi gani?...pesa sabuni ya roho na penzi ladha yake iwepo pesa..au unataka uwe-unachakachuliwa kwa kigezo cha kumsaidia mmeo maisha eti hana pesa
sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri....akili sio chanzo cha kiburi na jeuri...jeuri inatokana na mtu unayemfanyia..so unaonekana ni mjeuri weye na kama akili sio nyingi vile hapo upstairz kwako
sipendi mwanaume mwenye macho mia mia..... Jitahidi kusoma saikolojia za wanaume wote ndivyo tulivyo... Ila ukipata kipofu atakufaa zaidi maana hata macho hayo mawili alokuwa nayo hayaoni tena
je wewe ni mwenye sifa hizo?.... Sina sifa hizo ulizozitaja maana zinakiuka maadili na pia ni za kibaguzi
kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
Wewe sifa zako ni zipi?Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)
Sipendi kushindania mwanaume
Sipendi mwanaume anayependwa na kila mwanamke
Sipendi mwanaume mwenye pesa za kuzidi
Sipendi mwanaume mwenye akili nyingi sana hadi anakuwa mjeuri
Sipendi mwanaume mwenye macho mia mia.
Je wewe ni mwenye sifa hizo?
Kwa akina kaka tu...( kina dada ruksa kuchagiza mada)