Ule ni uzi wangu mkuu, unaoelezea life langu tokea ni home, nilipotoroka home hadi siku narudi home. Na yule mzee niliyekutana nae after long hustling life, yule ndio Baba yangu ambae jana nilikuwanaongea nae, na ambaye namzungumzia kwenye huu uzi.Kwa leo napita kimya ila ni best inspirational uzi kwa mwaka 2021.
Kichwa cha uzi wakati naanza kusoma huu uzi nikakumbuka kuna uzi wa mshikaji mmoja alikimbia nyumbani akapambana na mambo yakaenda ndivyo sivyo ndipo alipokutana na mshua wake kwenye msoto na mshua akamkazia hadi hatakaporudi home.
Ila ni moja ya nyuzi bora sana pia yenye maudhuhi kama haya.
She is.......anaanza yeye wengine wanafuataThe love of your life. Nimeipenda huyo kauli.
Nawakubali sana wazee wangu. Ni watu ambao wako very social and friendly kwasisi watoto wao, kuanzia kwa mtoto wa kwanza hadi wa mwisho.It is very interesting to see,mtoto anawapenda wazazi wake wote wawili this much
Hii haikutokea kwa bahati mbaya,they earned it,they worked so hard to love you guys
Now wanavuna upendo
To be honest ulipata wazazi waliokupenda ni bahati sana....trust me,wazazi wengi,especially baba,most or not,watoto wakikua hua hawawapendi sababu hawa wababa walikua na very bad parenting skills on their kids and families.
I'm so impressed to see this,to most hii ni very rare!
Siku zote sie watoto watukutu tuna mengiYeah sure. Na mzee ndio huyu ninaemuongelea hapa.
ndio maana hamuishi vurugu humu eeh😁Mother
Dah yule mwanamke alipitia mateso mengi sana kwa ajili yetu apumzike kwa amani.ndio maana hamuishi vurugu humu eeh[emoji16]
Pole sana best mi nikajua bado yupo RIP.Dah yule mwanamke alipitia mateso mengi sana kwa ajili yetu apumzike kwa amani.
Kwani mama yangu hafai kuwa shujaa wangu ebu acha hizo!
Asante.Pole sana best mi nikajua bado yupo RIP.
Mungu akulaze mahala pema [emoji120]. My hero Rest easy my boy Time flies[emoji471][emoji47]Kamanda . Greetings to him.
Ni maisha haya tu mkuu tuwe ngangari siku zote hope ipo siku tutaonana nao tena baada ya sisi kuwafwata hukoNawaonea wivu wenye baba,sikuwahi kuwaza mshua agesepa mapema hivi
Mliopoteza wazazi mmewezaje Ku handle situation?