My Father. Our Hero. Who is your Hero?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nirudi jandon nikapate mafundisho zaidi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hata ukienda ukarudi nadhani bado tu utakuwa huna[emoji1787] ninazozitaka Mimi.
Wewe sifa unazo ila nadhani ninazotaka Mimi ndizo hauna.
Unajua Mimi nataka zipi?
 
Hata ukienda ukarudi nadhani bado tu utakuwa huna[emoji1787] ninazozitaka Mimi.
Wewe sifa unazo ila nadhani ninazotaka Mimi ndizo hauna.
Unajua Mimi nataka zipi?
Sijui aisee. Hebu niambie
 

[emoji23] nakumbuka huo uzi sema sijui ni wanani. Kama una link naomba.
 
[emoji23] nakumbuka huo uzi sema sijui ni wanani. Kama una link naomba.
 
Baba, my hero nashukuru mungu nimechukua kila kitu kutoka kwake,amenifanya nijione shujaa humu duniani...mungu azidi kumpa uthubutu....
 
Baba, my hero nashukuru mungu nimechukua kila kitu kutoka kwake,amenifanya nijione shujaa humu duniani...mungu azidi kumpa uthubutu....
Ni jambo zuri sana, pale ambapo mzazi wako ndio shujaa wako. Unapoulizwa nani role model wako, you proudly mention your parents.
 
Nimeipenda comment yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…