My first date in Dubai, soma hapa inasikitisha sana

My first date in Dubai, soma hapa inasikitisha sana

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee.

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke), tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni.

Tukafikia palepale Dubai mjini chumba namba 108, Khayirat Hotel. Nakumbuka tulifanya shopping na kuinjoi sana mitaa ya Deira.

Baada ya siku 3 tukaona twende kule jangwani (Desert safari), ikaja Land Cruiser V8 hadi hotelini kutuchukua, Ile ndo nafungua mlango wa V8 nipande nikasikia Ngo! Ngo! Ngo! Mtoto wa jirani Mama Peruu ananigongea na kuniambia "Anko maji yaliyokuwa yamekatika yameanza kutoka nipe ndoo nikakuchotee"

Ndoto yangu ikaishia hapohapo.
 
Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee...😭😭

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke)... tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni. Tukafikia palepale Dubai mjini chumba namba 108, Khayirat Hotel. Nakumbuka tulifanya shopping na kuinjoi sana mitaa ya Deira.

Baada ya siku 3 tukaona twende kule jangwani (Desert safari).. ikaja Land Cruiser V8 hadi hotelini kutuchukua... Ile ndo nafungua mlango wa V8 nipande nikasikia Ngo! Ngo! Ngo! Mtoto wa jirani Mama Peruu ananigongea na kuniambia "Anko maji yaliyokuwa yamekatika yameanza kutoka nipe ndoo nikakuchotee".... Ndoto yangu ikaishia HAPOHAPO.😭
Calabar carnival.
 
siku zote nilikuwa najua wewe ni Mama Yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee.

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke), tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni.

Tukafikia palepale Dubai mjini chumba namba 108, Khayirat Hotel. Nakumbuka tulifanya shopping na kuinjoi sana mitaa ya Deira.

Baada ya siku 3 tukaona twende kule jangwani (Desert safari), ikaja Land Cruiser V8 hadi hotelini kutuchukua, Ile ndo nafungua mlango wa V8 nipande nikasikia Ngo! Ngo! Ngo! Mtoto wa jirani Mama Peruu ananigongea na kuniambia "Anko maji yaliyokuwa yamekatika yameanza kutoka nipe ndoo nikakuchotee"

Ndoto yangu ikaishia hapohapo.
...
giphy.gif
 
Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee.

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke), tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni.

Tukafikia palepale Dubai mjini chumba namba 108, Khayirat Hotel. Nakumbuka tulifanya shopping na kuinjoi sana mitaa ya Deira.

Baada ya siku 3 tukaona twende kule jangwani (Desert safari), ikaja Land Cruiser V8 hadi hotelini kutuchukua, Ile ndo nafungua mlango wa V8 nipande nikasikia Ngo! Ngo! Ngo! Mtoto wa jirani Mama Peruu ananigongea na kuniambia "Anko maji yaliyokuwa yamekatika yameanza kutoka nipe ndoo nikakuchotee"

Ndoto yangu ikaishia hapohapo.
Wewe kiazi unaidhalilisha hiyo picha.
 
Akili mwili babe,hasira zangu nazituliza,ukiongea nasikiliza....yote sababu ya upendo 🎧 🎧
 
Nilijua tu ni chai maana kutoka Tanzania mpaka Dubai na fly emirate hayazidi masaa matano.
 
Back
Top Bottom