My future husband

Hiyo tunasema 'mipango si matumizi' hata wanaume hawaoi wanawake wa ndoto zao[emoji23]
Umenikumbusha enzi nikiwa shuleni waziri wa elimu wa kipindi hicho alitusimulia walivyokuwa wanawachora wanawake watakaowaoa wenye umbo namba 6 na 8
 
Hiyo tunasema 'mipango si matumizi' hata wanaume hawaoi wanawake wa ndoto zao[emoji23]
Umenikumbusha enzi nikiwa shuleni waziri wa elimu wa kipindi hicho alitusimulia walivyokuwa wanawachora wanawake watakaowaoa wenye umbo namba 6 na 8
Sisi mara nyingi tunaoa wanawake wa ndoto zetu hasa ukiwa na pesaaa

Huyo waziri alibahatika kupata hilo umbo namba 6 na 8 ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…