Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Hivi yeye ni msagwaji au msagaji?
zote swaga tu
it doesnt mata unasaga au unasagwa.....ni KANDANDA TU...mwsho wa siku mabao.
nawasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi yeye ni msagwaji au msagaji?
alikuwa anaelezea kurudi kwa yesu. alleluyah!
ankal hili dunia sasa hivi ukitaka kujifanya unalichukulia serious unaweza ukaota mvi za kwapa. yaani Afrika bado ni peponi at least kuna ka aibu flani lakini kizazi cha hitler sasa hivi kila kitu ni wazi bin kweupe, unakuta limume linatangazia kabisa kwenye gazeti kwamba linatafuta njemba ikamkunute yeye na waifu wake halaf limume hilo hilo likigombea ubunge linapewa. gademu!
hajamaliza, kasema itaendelea post ijayo. anaongezea hela ya cafe atarudiameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!!!!!1
asante kwa kunitafsiria....ehh kwaiyo kasema yesu anarud ln?
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
viza hawatoi. labda tukatize boda la msumbiji.twende tukaish uko bwana ....we waonaje?
hajamaliza, kasema itaendelea post ijayo. anaongezea hela ya cafe atarudi
Habari yake banaa aisee masaa sita mengi sana nimejaribu sana nimeweza kufikisha matanoahh i kaz jaman.
nw days ukienda club kutongozwa na demu mwenzako ni kitu cha kawaida tu
na kwawale waliosoma weluwelu,ashira,shule gan ile ya ,masista pale kat...na ile karibu na tarakea yan dah KUNA MAASKOFU KABSA NDOA/UHALALISHO UNATOLEWA like JOYCE na SALOME ni couple....
inasikitsha sana lakin ili wimbi la siku izi la unasimamishwa na demu mwenzako unaimbishwa dahh inakera...
viza hawatoi. labda tukatize boda la msumbiji.
Habari yake banaa aisee masaa sita mengi sana nimejaribu sana nimeweza kufikisha matano
Shabashhhhhh!!!!! Balaa bin balaaaankal hili dunia sasa hivi ukitaka kujifanya unalichukulia serious unaweza ukaota mvi za kwapa. yaani Afrika bado ni peponi at least kuna ka aibu flani lakini kizazi cha hitler sasa hivi kila kitu ni wazi bin kweupe, unakuta limume linatangazia kabisa kwenye gazeti kwamba linatafuta njemba ikamkunute yeye na waifu wake halaf limume hilo hilo likigombea ubunge linapewa. gademu!
usijali, hapa kijijini wananiita koffi anan kwa kiingreza. wewe wakikuPM kwa kimombo zifoward kwangu halaf natafsiri unapiga kibuti kwa foreign lenguej.ehh unamaanisha hana modem?
yupo cafe?
kwan ulaya cafe zao aghali enhh?
ehh angekuwa uku ningempa modem moja.....
ennhh amesemaje tena?
yan wewe jaman unanitafsiria vzur dah ....pls ukiona chngereza tu uwe unanitafsiria bana ..ujue tu anna ataitajika...
Kweli tena hayo masaa matano yenyewe watu wametoka nduki, dull hauoni alivyokuwa analalamika anasema labda kama mtu unatafuna Big G sawa.hahaah hahah acha bang wewe!
umenchekesha...aya bwana
mwambie dull kuna masaa 6 uku aje achek...
wewe ntakuzamisha masaa matatu tu kwan yatakushnda?
nikiendelea kuchakachua hii sredi. AD atagoma kujibu PM zangu bana, acha niishie hapa.kweli awatoi vza?
twende bas ata apo kwa ocampo bwana ....ili tukikorofshana mahakama iwe karibu....:love:
My dear
thank you so much for this
beautiful artical..
but the thing is she doesn't want her hubby
any more.. she just want her son and family members
Except her husband..
she is looking for the way to break this news without
creating a big drummer..
she is ready to move on..
nikiendelea kuchakachua hii sredi. AD atagoma kujibu PM zangu bana, acha niishie hapa.
inawezekana huyu mdada ni jirani yako. tahazari Heren Kappuch wangu.AD..
Mimi naomba tu kuuliza, hivi haya yametokea hapa kwetu Tanganyika au huko kwa wenzetu walioendelea? Mhh...mi nakuwa kama Thomaso..mhh!
AD..
Mimi naomba tu kuuliza, hivi haya yametokea hapa kwetu Tanganyika au huko kwa wenzetu walioendelea? Mhh...mi nakuwa kama Thomaso..mhh!
khaaaa! yupo India ameajiriwa kuweka chorus nyimbo za kihindi.sawaaaaaaaaaaaaaa
vp una dada?mwambie nimempenda..:love: