My girlfriend has a girlfriend




twende tukaish uko bwana ....we waonaje?
 



ahh i kaz jaman.
nw days ukienda club kutongozwa na demu mwenzako ni kitu cha kawaida tu
na kwawale waliosoma weluwelu,ashira,shule gan ile ya ,masista pale kat...na ile karibu na tarakea yan dah KUNA MAASKOFU KABSA NDOA/UHALALISHO UNATOLEWA like JOYCE na SALOME ni couple....


inasikitsha sana lakin ili wimbi la siku izi la unasimamishwa na demu mwenzako unaimbishwa dahh inakera...
 
hajamaliza, kasema itaendelea post ijayo. anaongezea hela ya cafe atarudi



ehh unamaanisha hana modem?
yupo cafe?
kwan ulaya cafe zao aghali enhh?
ehh angekuwa uku ningempa modem moja.....

ennhh amesemaje tena?
yan wewe jaman unanitafsiria vzur dah ....pls ukiona chngereza tu uwe unanitafsiria bana ..ujue tu anna ataitajika...
 
Habari yake banaa aisee masaa sita mengi sana nimejaribu sana nimeweza kufikisha matano
 
Habari yake banaa aisee masaa sita mengi sana nimejaribu sana nimeweza kufikisha matano



hahaah hahah acha bang wewe!
umenchekesha...aya bwana
mwambie dull kuna masaa 6 uku aje achek...
wewe ntakuzamisha masaa matatu tu kwan yatakushnda?
 
Shabashhhhhh!!!!! Balaa bin balaaa
 
usijali, hapa kijijini wananiita koffi anan kwa kiingreza. wewe wakikuPM kwa kimombo zifoward kwangu halaf natafsiri unapiga kibuti kwa foreign lenguej.
 
hahaah hahah acha bang wewe!
umenchekesha...aya bwana
mwambie dull kuna masaa 6 uku aje achek...
wewe ntakuzamisha masaa matatu tu kwan yatakushnda?
Kweli tena hayo masaa matano yenyewe watu wametoka nduki, dull hauoni alivyokuwa analalamika anasema labda kama mtu unatafuna Big G sawa.
 
AD..
Mimi naomba tu kuuliza, hivi haya yametokea hapa kwetu Tanganyika au huko kwa wenzetu walioendelea? Mhh...mi nakuwa kama Thomaso..mhh!
 
kweli awatoi vza?
twende bas ata apo kwa ocampo bwana ....ili tukikorofshana mahakama iwe karibu....:love:
nikiendelea kuchakachua hii sredi. AD atagoma kujibu PM zangu bana, acha niishie hapa.
 


mapepo.
mapepo ya kuvuruga family
shetan anamlaghai aone uyo jikedume anampenda na kumfanya ajisikie raha zaid ya mumewe ...ili mwsho wa siku amcheke fresh

UYO GALFREND WAKE AMEOLEWA NAYE?ANA MCHUMBA?ANA MTOTO?
Wameish sana majuu?
wamesoma wap?
waltongozeana wap?
wanafanya kaz pamoja?
 
AD..
Mimi naomba tu kuuliza, hivi haya yametokea hapa kwetu Tanganyika au huko kwa wenzetu walioendelea? Mhh...mi nakuwa kama Thomaso..mhh!
inawezekana huyu mdada ni jirani yako. tahazari Heren Kappuch wangu.
 
AD..
Mimi naomba tu kuuliza, hivi haya yametokea hapa kwetu Tanganyika au huko kwa wenzetu walioendelea? Mhh...mi nakuwa kama Thomaso..mhh!

Pole sana Keren mie nilikuwa Thomaso kama wewe lakini sasa nashuhudia hapa Job kwangu kuna Couples za Kike ,
Jamani kweli wazazi tunajipatia watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…