My girlfriend has a girlfriend

My girlfriend has a girlfriend

Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.

Fanya kama koni...unakula shikirimu(ice cream) na kikombe chake...ukiacha kikombe watu watakila
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.

walau mimi ni miongoni mwa wachache ambao topic yako AD imetukwaza, well kwa upande wangu nimepokea ombi lako la msamaha, you're forgiven! Keep posting for social justice, some learn, some enjoy, and some get mad, that's all about JF!
 
You got that right! Finally, NN is back in his house.

Haterz better beware.

mhh mbona izi swaga za kitandale jaman we NN WAKAT UNAONEKANA WE MZUNGU MZUNGU?...mipasho sio ehh ehh wapashe babuuuuuuuuuuuu wapashe wapashike km kiporo cha makande...
aya bwana wamekupata ....
 
Mhh hii kali!

mie kuna best wangu nae kaolewa huwa anasema lazima ajaribu haka kamchezo anataka kujua wanasikia raha gani she thinks kuwa wanafaidi sana wanaofanya hako kamchezo.

sasa ngoja nikamuhabarishe aachane na hayo mawazo asije vunja ndoa buree.

Mkataze asije akachonga mzinga kabisa.
Maana wanasema chovya chovya humaliza buyu la asali.
 
The kid? They should just put him/ her to bed before they get their freak on. Simple as that.

And what is a super christian? Afterall, who said christians, whether super or not, don't get freaky?


Duh! Hatimaye! Karibu sana Mkuu tulikumiss sana na pia tulimiss michango yako motomoto...5 months missing in action Duh! Karibu sana jamvini.
 
the impact of modernization in our society copy and past everything in western madhara yake ndo haya .kwa kuwa ni mwanzo ajivue gamba mapema maana waswahili wanasema mlamba asali uchonga mzinga
 
Eti kuna msichana yoyote anayeweza kuniambia mnachodiskasheni hapa?:help::help::help:
 
pls n pls stop being thomaso
umesoma shule gan?
kwakweli mosh i tabia imezd kule machame,kilaen ,mawenz ,weruweru,ashira ...na ile ya masista pale....
yan ni kero
ukifika form5 wale wadada wa form 6 wanajifanya kuanzisha udota na umama wa shule bas pale ndo mwanzo na km wewe ulikuwa kwenu unadekezwa apo chacha ...atakudekeza,mtakumbatiana kumbatiana na usiku ule mtindo wa kujenga kijumba na kulala wawili kwa wasichana kawaida bas ndo pale ...mara mmeshikana ziwa ..mara mmeshkana.....mara uyu kamzamia uyu...then here we gooooooooooooooooooo ndo kamchezo daily ..na awa bnadamu wana wivu hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii


unaendaga club dada?
ahh mi mara kibao nimetongozwa..ni kawaida yaan na km ukiwa hausuki ivi unalow cut...ahh iyo ndo sign kubwa bas utafutwa wewe hatari..nenda maisha nenda bills uko ndo kuna vtuko mara nyng mademu kupeana denda ni kawa sana.....
ukienda machuon apo dahh acha ..hasa hasa nenda kitivo cha sheria kule kwenye wakenya/wauganda weng ...ahhh kwa raha zaooooooooooo...couples kibaooooooooooo..
kndon kuna mbibi mtu mzima lakin msagaj na anajulikana ..kule temeke kuna mdada yaan dzain mamahadija tu lakin msagaji sasa uyu utajiuliza kajifunzia wap manake ajaenda shule wala hana exposure kiivo lakin msagaji...


shetaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan....
usiwe tomaso amini watu awa wapo....

Nashkuru umeitaja Mawenzi, ni shule yangu. Kuna wadada wawili tena mmoja alikuja kusoma udsm sheria sitataja mwaka gani. yani walikuwa wanalala pamoja na wana do live bila chenga. kitanda chao wamekizungushia uzio, yani ni mke na mme. Mmoja akimuona mwenzake na mdada mwingine ni ugomvi wa kufa mtu kama ule wa boy/girl friend.......so yapo live hayo
 
mhh mbona izi swaga za kitandale jaman we NN WAKAT UNAONEKANA WE MZUNGU MZUNGU?...mipasho sio ehh ehh wapashe babuuuuuuuuuuuu wapashe wapashike km kiporo cha makande...
aya bwana wamekupata ....

Mipasho ndo yenyewe haswa! Kwanza nani kakwambia wazungu wazungu hawana mipasho? Hiyo dhana potofu umeitoa wapi? Ndo mnavyodanganya hivyo huko kwenu Uswazi? Ipotezee hiyo manake ni urongo mtupu. Mtu akijilengesha mpashe kaa chai ya rangi kwenye jiko la tambi. Mwambie wewe ndo wewe kamba isokatika ajichunge na kujichunga asije kujinyonga nayo.
 
Duh! Hatimaye! Karibu sana Mkuu tulikumiss sana na pia tulimiss michango yako motomoto...5 months missing in action Duh! Karibu sana jamvini.

Brother man from the motherland. What's good ma dude? You good?

Yeah man! Five long months on hiatus ain't no joke. But things done changed man. JF ain't what it used to be in the good old days. Zamani zile za kale heshima iliwekwa mbele na ishuz zilikatwa kwa kumkoma nyani giladi.

Lakini siku hizi hapa pamegeuka kuwa nyumba ya sanaa iliyojaa wasanii.

Other than that, I'm good man.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mipasho ndo yenyewe haswa! Kwanza nani kakwambia wazungu wazungu hawana mipasho? Hiyo dhana potofu umeitoa wapi? Ndo mnavyodanganya hivyo huko kwenu Uswazi? Ipotezee hiyo manake ni urongo mtupu. Mtu akijilengesha mpashe kaa chai ya rangi kwenye jiko la tambi. Mwambie wewe ndo wewe kamba isokatika ajichunge na kujichunga asije kujinyonga nayo.
Ahaaa ahaaa ahaaaa NN what a COMEBACK.
 
Ahaaa ahaaa ahaaaa NN what a COMEBACK.

You already know playa! I'm built for that sh*t.

Unajua kuna kitu nime observe. Baadhi ya watu hupenda kuiongelea mbovu "mipasho" hususan ile ya kwenye Taarab (in the interest of full disclosure, I am a huge, unabashed fan of Taarab). Lakini unakuta watu hao hao wako wanapenda sana "freestyle battles" za hip hop kama zile za 106&Park.

Sasa freestyle battles na mipasho ya Taarab substantively tofauti yake nini? Lakini unakuta mtu anaona fahari kuwasikiliza wanugu wakipashana lakini anaua ikija kwa sisi wamatumbi. I guess labda kwa vile wanugu wanatumia Kiingereza ndo maana baadhi ya watu wanashoboka na kusahau kuwa hiyo nayo ni mipasho.

Unakuta wenyewe wanafuatilia Jigga kasema nini kuhusu Baby wa Cash Money au Niki Minaj kamchanaje Lil Kim.....ahahahaaaa watu bana.
 
You already know playa! I'm built for that sh*t.

Unajua kuna kitu nime observe. Baadhi ya watu hupenda kuiongelea mbovu "mipasho" hususan ile ya kwenye Taarab (in the interest of full disclosure, I am a huge, unabashed Taarab fan). Lakini unakuta watu hao hao wako wanapenda sana "freestyle battles" za hip hop kama zile za 106&Park.

Sasa freestyle battles na mipasho ya Taarab substantively tofauti yake nini? Lakini unakuta mtu anaona fahari kuwasikiliza wanugu wakipashana lakini anaua ikija kwa sisi wamatumbi. I guess labda kwa vile wanugu wanatumia Kiingereza ndo maana baadhi ya watu wanashoboka na kusahau kuwa hiyo nayo ni mipasho.

Unakuta wenyewe wanafuatilia Jigga kasema nini kuhusu Baby wa Cash Money au Niki Minaj kamchanaje Lil Kim.....ahahahaaaa watu bana.
Kwenye hayo NN watu wako-updated ile mbaya unaweza hadi shangaa huku kwingine wanakwambia WTF!!
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Ningekuwa huyo mwanaume ningemwambia aje na huyo girrlfriend wake, then wote watatu tutajoin pamoja.... maana bora hiyo kuliko angeenda kwa mwanaume mwenzangu.....
 
oh mmefika huku?

hivi mie bado ninashangaa......kusema ukweli ningejaribu kuelewa iwapo huyo rafikiyo angekuwa hajaolewa na hana boyfriend........ sas ahuyu aliyeolewa nashindwa kuelewa anatofautishaje kuwa kwa mumewe hafaidi kama huku kwa bi dada?? hivi tunapofikia kujudge kuwa the sex was good huwa tunaangalia nini?? romance? foreplay, the deed it self au ni nini? kwa sababu mie mawazo yangu ya kipotofu nawaza kama anachofurahia ni romance, foreplay, handling si amwambie mumewe afanye kama hayo anayofanyiwa?? Au ni huko kusifiwa kuwa ni mzuri, anapendeza, anapendwa si navyo mume anawezafanya?? Unless mnambie huyo mumewe naye ndo wale mabaunsa hata vyumbani.
 
Back
Top Bottom