Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
ha ha ha ah NN is back!
i like that philosophy though... two-some!
You got that right! Finally, NN is back in his house.
Haterz better beware.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ah NN is back!
i like that philosophy though... two-some!
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
You got that right! Finally, NN is back in his house.
Haterz better beware.
Mhh hii kali!
mie kuna best wangu nae kaolewa huwa anasema lazima ajaribu haka kamchezo anataka kujua wanasikia raha gani she thinks kuwa wanafaidi sana wanaofanya hako kamchezo.
sasa ngoja nikamuhabarishe aachane na hayo mawazo asije vunja ndoa buree.
The kid? They should just put him/ her to bed before they get their freak on. Simple as that.
And what is a super christian? Afterall, who said christians, whether super or not, don't get freaky?
Eti kuna msichana yoyote anayeweza kuniambia mnachodiskasheni hapa?:help::help::help:
mzee wa tip top, pengine hata hakakutongozwa kalitaka kujaribu mambo baada ya kuangalia maporno tu, sasa supu lishaingia mjusi.
pls n pls stop being thomaso
umesoma shule gan?
kwakweli mosh i tabia imezd kule machame,kilaen ,mawenz ,weruweru,ashira ...na ile ya masista pale....
yan ni kero
ukifika form5 wale wadada wa form 6 wanajifanya kuanzisha udota na umama wa shule bas pale ndo mwanzo na km wewe ulikuwa kwenu unadekezwa apo chacha ...atakudekeza,mtakumbatiana kumbatiana na usiku ule mtindo wa kujenga kijumba na kulala wawili kwa wasichana kawaida bas ndo pale ...mara mmeshikana ziwa ..mara mmeshkana.....mara uyu kamzamia uyu...then here we gooooooooooooooooooo ndo kamchezo daily ..na awa bnadamu wana wivu hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
unaendaga club dada?
ahh mi mara kibao nimetongozwa..ni kawaida yaan na km ukiwa hausuki ivi unalow cut...ahh iyo ndo sign kubwa bas utafutwa wewe hatari..nenda maisha nenda bills uko ndo kuna vtuko mara nyng mademu kupeana denda ni kawa sana.....
ukienda machuon apo dahh acha ..hasa hasa nenda kitivo cha sheria kule kwenye wakenya/wauganda weng ...ahhh kwa raha zaooooooooooo...couples kibaooooooooooo..
kndon kuna mbibi mtu mzima lakin msagaj na anajulikana ..kule temeke kuna mdada yaan dzain mamahadija tu lakin msagaji sasa uyu utajiuliza kajifunzia wap manake ajaenda shule wala hana exposure kiivo lakin msagaji...
shetaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan....
usiwe tomaso amini watu awa wapo....
mhh mbona izi swaga za kitandale jaman we NN WAKAT UNAONEKANA WE MZUNGU MZUNGU?...mipasho sio ehh ehh wapashe babuuuuuuuuuuuu wapashe wapashike km kiporo cha makande...
aya bwana wamekupata ....
yes sir;
its ol abt 5hrs.
nawasilisha.
Duh! Hatimaye! Karibu sana Mkuu tulikumiss sana na pia tulimiss michango yako motomoto...5 months missing in action Duh! Karibu sana jamvini.
Ahaaa ahaaa ahaaaa NN what a COMEBACK.Mipasho ndo yenyewe haswa! Kwanza nani kakwambia wazungu wazungu hawana mipasho? Hiyo dhana potofu umeitoa wapi? Ndo mnavyodanganya hivyo huko kwenu Uswazi? Ipotezee hiyo manake ni urongo mtupu. Mtu akijilengesha mpashe kaa chai ya rangi kwenye jiko la tambi. Mwambie wewe ndo wewe kamba isokatika ajichunge na kujichunga asije kujinyonga nayo.
Ahaaa ahaaa ahaaaa NN what a COMEBACK.
Kwenye hayo NN watu wako-updated ile mbaya unaweza hadi shangaa huku kwingine wanakwambia WTF!!You already know playa! I'm built for that sh*t.
Unajua kuna kitu nime observe. Baadhi ya watu hupenda kuiongelea mbovu "mipasho" hususan ile ya kwenye Taarab (in the interest of full disclosure, I am a huge, unabashed Taarab fan). Lakini unakuta watu hao hao wako wanapenda sana "freestyle battles" za hip hop kama zile za 106&Park.
Sasa freestyle battles na mipasho ya Taarab substantively tofauti yake nini? Lakini unakuta mtu anaona fahari kuwasikiliza wanugu wakipashana lakini anaua ikija kwa sisi wamatumbi. I guess labda kwa vile wanugu wanatumia Kiingereza ndo maana baadhi ya watu wanashoboka na kusahau kuwa hiyo nayo ni mipasho.
Unakuta wenyewe wanafuatilia Jigga kasema nini kuhusu Baby wa Cash Money au Niki Minaj kamchanaje Lil Kim.....ahahahaaaa watu bana.
Ningekuwa huyo mwanaume ningemwambia aje na huyo girrlfriend wake, then wote watatu tutajoin pamoja.... maana bora hiyo kuliko angeenda kwa mwanaume mwenzangu.....Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Unless mnambie huyo mumewe naye ndo wale mabaunsa hata vyumbani.