My Girl's Pregnant

Inawezekana kweli mkuu, kuwa hawa jamaa bado ni manjuka kwenye game, sasa hiyo ni hatari zaidi. Maana hata yule wa pili kumega huwa anajidhania ni wa kwanza, alimradi tu hamjui huyo aliyeanza.

:becky::becky::becky: umenirudisha mbali Mtu B; dah! kuna jamaa yetu enzi hizo alipewa mzigo na dem aliypigwa mdondo lakini cha ajabu jamaa alikuja kutuapia kuwa yeye ndo amefungua njia! Hii dunia hii..... we acha tu
 
Ndugu yangu...If you dont trust your chic,then kwa nini ulimega bila kinga?Au unaogopa Mimba kuliko HIV,kazi ipo!

Next time kuwa makini au acha uzinzi ndugu
 
jamani msimnange kiivyo mdada wa watu, mimba za hivyo mbona zipo sana
 
Ni very possible kuna wanawake wengine wanapata periods zao wakiwa na mimba especially during the first tremester so usishangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…