Sijui ni kwa nini haya mambo hayaishi, kila kukicha ni mambo haya haya! Kwa kiasi kikubwa source ya matatizo ni kwetu, midume. Siamini na nasema siamini kama inawezekana binti akawaza kumtega baba yake mzazi. Nashawishika kuamini kuwa ktk kesi hizi, mkorofi ni huyo baba kufikia hatua ya kumtokea na kutembea na mwanawe wa kuzaa.
Leo sina nguvu ya kusema mengi, ila natoa ushauri tu kwa akina baba wenzangu, tujiheshimu na kuacha tamaa. Huko mitaani kwenu kuna mabinti wangapi? Kwa nn msiwafuate hao? On the other hand na nyie vibinti hebu kuweni na aibu na adabu pia,baba akijaribu kidogo tu mnakubali, Kwanini mnamkubalia baba? Hebu muache huo uchafu mnaoufanya. Sipendi!