Personal simfahamu lulu Jana nilisoma habari kafungwa miaka 2 .Today nikasema ngoja niangalie video kwa kweli Ili iliniumiza mno. the abuse of a human right was beyond my imagination .Walivyokuwa wanamsukuma aisee hata North Korea sio Hivi . WHAT CAN WE DO TO MAKE SURE SHE IS SAFE .Ata Enzi za Nyerere wakina Ngaiza haikuwa Hivi. Hii ndio serikali ya magufuli. Very traumatic