zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Hahahaa nakuelewa mkuu ila umetumia vigezo gani kusema my heart ni bora kuliko body 2 body??? ..... Kiukweli kabisa cassper hakuwa at his best kwenye verse yake tofauti kabisa na tulivyomzoea ila diamond alijitahidi sana kwa level zakeBody to body kawaida saana may be itaingia kwenye top 5 ya cutups za Coke ila sio kuipiku My heart.
Umenitafsiri vibaya Mond mimi sio hata shabiki wake ila baadhi ya kazi zake ikiwemo hii.
Tusifie vizuri bila kujali aliyekifanya.
Chemistry ya Cassper na mond kwenye track, ukiwa unausikiliza au kuangalia You'll notice this.Hahahaa nakuelewa mkuu ila umetumia vigezo gani kusema my heart ni bora kuliko body 2 body??? ..... Kiukweli kabisa cassper hakuwa at his best kwenye verse yake tofauti kabisa na tulivyomzoea ila diamond alijitahidi sana kwa level zake
Hiki kitu kinakera sana kuna sehemu amesema "hasala" badala ya "hasara"Diamond na wasanii wengi kwenye L wanaweka R and vice versa...
espy namba mojaKumzidi espy?
Kinaudhi mno. Na ni aibu kwa msanii mkubwa kushindwa kujikaza hizo dakika 4 za kurekodi.Hiki kitu kinakera sana kuna sehemu amesema "hasala" badala ya "hasara"
Naikataaa laana kwa jina la Bwanaole wako mtu mzima akusubiri usitokee
Nitakulaani.