My List: Most Beautiful Tanzanian Female Celebrities

kale katoto bwana kakimada ka yule jamaa wa mjengoni (BOOOONGE) anaelala ovyo, aaah I mean yule jamaa aliyekuwa anaimba kwaya bwana.
au kale under 18 au?
 
Amuita baby...mwenzio karithi empire...kaa hapo upige kelele. Babu mwisho Chalinze
mwambie huyo babu kijijini kwao ukiwezagegeda vizuri wewe ni baby na switie wanakalia umbeya hawa waambie tena amezaa mapacha kabisa waone goli moja la huyo wamuitae babu lilivyo na ujazo kwiwkwiwwkwi
 
Hujawa Exposed vizuri na nakusamehe bure kwasababu umekiri kwamba ni kwa mtazamo wako, hapa Bongo kuna watoto wakali sana mtaani, sema hao ni maarufu.

Naam mkuu naona umenielewa...
Walimbwende hawa ni wale walio maarufu, halafu pia ni kwa mtazamo wangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…