Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mie wa kukususa kweli babe!! Naanzaje yaani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Umenisusa ndio maana nimechafukwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie wa kukususa kweli babe!! Naanzaje yaani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Umenisusa ndio maana nimechafukwa!
Kwani nina mababebe wangapi eti?Mie wa kukususa kweli babe!! Naanzaje yaani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Mara ya mwisho walikuwa wa5, vipi wameongezeka?Kwani nina mababebe wangapi eti?
Mashine gani hizo zinasimama bila hisia?Kufanya ngoni kwa mwanaume hakuitaji hisia , ukiwa na ukame tu machine inasimama popote,
Ndo maana hta vichaa wanapewa mimba
Usirudi inatosha.Kuna rafiki yangu aliniambia hakuna mtu asiejua kupenda hata ujifanye kauzu vipi moyo una stop center yake utadondokea tu hata chizi.
Basi bwana Mimi baada ya kuachana na mtu fulani niliekuwa nampenda sana.baada ya kuona hakuna future nikaona nimute Mimi na kazi busy busy 24/7 kweli nilimsahau kidogo ila siku mbili
Inategemea na nini Eli?Inategemea Vale.
Inategemea mambo mengi lakini mazingira na aina ya mwanamke humfanya mwanaume ashawishike fasta. Kumbuka kwa mwanaume ngono haina uhusiano na hisia.Inategemea na nini Eli?
Tell me [emoji101]
Mmh your not serious gal!!! Huwajui wanaume... Labda dem awe Mbovu men asimuelewe atakataa" vinginevyo kaliwaYou're not matured enough. Mwanaume mwenye mtu wake ambako yuko committed kukubali ni ngumu ' labda kumi kwa mia
Teh Eli bana nimekuelewa na nikakuerewaInategemea mambo mengi lakini mazingira na aina ya mwanamke humfanya mwanaume ashawishike fasta. Kumbuka kwa mwanaume ngono haina uhusiano na hisia.
Ubarikiwe sana Vale[emoji39][emoji39]Teh Eli bana nimekuelewa na nikakuerewa
Poa nakujaMiss Natafuta malizia kupika hayo makande uje umalizie story.
Ntumie hayo makande nikumbuke nyumbanPoa nakuja
Pole .unajitesa achana nae tuKuna mtu anateseka na mapenz kunizid