my new signature......

Mungu nisaidie mja wako, nasakamwa na wanadamu
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::crying::crying::crying::crying:

Hahahhaha!
Hubby calm down!!Mi nakupenda sana ila hujui tu...hayo mengine yote hua nafanya ili angalau nione reaction yako labda utajirudi uanze kunipenda kama zamani!!Naomba kama hutojali tuende mbali kidogo weekend hii labda tutaweza kumaliza matatizo yetu mbali na haya mazingira tuliyozoea!
 



CPU.... Kwa maelezo hayo hapo juu, leo ndo nimegundua rasmi sikuwezi..... Very impressive speech. Mimi na partner tutaifanyia kazi kwa mazuri.... ASANTE SAAANA..
 
Reactions: CPU
Bishanga ingawa mi si "KE" nakubaliana na signature yako, viapo vya ndoa vya kanisani havitekelezeki!, to pretend that you'll love and tolerate someone for life is ridiculous, ni uwongo na uzushi mtupu, waapaji na waapishaji wanafanya hivyo huku wakijua haiwezekani.
 
Mungu nisaidie mja wako, nasakamwa na wanadamu
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::crying::crying::crying::crying:





Ahsante Mungu kwa kunifariji . . .




Mungu anakupenda saaaana na kasikia maombi yako... tena muda wa mwisho wa dunia ushapita ina maana maisha yanaanza upya... Usiipoteze tena nafasi ulopewa na Mkeo... mpende mpendane ili kue na amani... na suggest nendeni tena honeymoon...

Nawatakia kila la kheri katika mapenzi yenu...
 

Mimi nimpe nafasi, yeye anipe nafasi au tupeane nafasi??
Jamani jamani Asha D,
Mbona bado una kauli tata???
Najua unamuogopa partner wako, huwezi kuthubutu kumpa LIVE ili ushosti wenu usiingie doa
(Nashangaa hata kwenye mambo ya kuambiana ukweli mnaweza kukosana, khaaaaa! Kweli ushosti wenu kiboko)

Haya, mi nakubali tu, nitaweka muda maalumu nione kama amebadilika.
Saa hizi nimelia sana, nimechoka nataka nile nilale
 
Dah! mpaka sku ya kiama pia unatongoza? kulaleki!
 


Kazi ulofanya ni kubwa na nimekuelewa kabisa... wewe kapumzike
mimi leo Lizzy MP wangu naongea nae na nitampasha ukweli...
Kesho ukionana nae atakua a new Lizzy and you will forget completly
about Asha D... You will be asking ukisikia jina kua who is she???
GOOD LUCK Sipiyuu...
 

Hapa sasa nimekuelewa bila chenga.
Sina malalamishi TENAAAAAAAAAAAA
 
Nasikia rungu limeshaanza kuwashukia wazungu . . .
Angalia dirishani kwako hapo, unaweza ukajikuta mtaa mzima umebaki peke yako
hapa leo mpaka wazungu wamevaa hijabu, naripoti laiv kutoka shekoslovakia
 

Only sky has no limit! uvumilivu na kuenjoy lazima kuwe na mipaka pia.
 
Partner nimeshaanza kujirekebisha!!!
 
hapa leo mpaka wazungu wamevaa hijabu, naripoti laiv kutoka shekoslovakia

Mimi huku nimenusurika
Tayari nipo tarehe 22

Hao wazungu wanataka kumhadaa mwana izraeli asiwagundue
Si unajua tena vimbunga na matetemeko vinawakumba wao tu, cheki Japan walivyopewa kichapo na God
Bado Amerika, na Europe
 
Partner nimeshaanza kujirekebisha!!!


Nashukuru mpenzi tumeafikiana... ni muhimu saana tuongee wawili kwa upana zaidi ili tuweze rekebishana, ila coz mda umeisha naamini leo itabidi uwe karibu na huyo CPU ili ile 6x6 by far itumike maana najua ni mda mrefu sasa... kesho tutoke walau brunch kisehemu kizuriii ambacho hakina disturbances... Usisahau ile lingerie unapoondoka...lol
 

Asante partner...ngoja nikajipendezeshe afurahi!!!
 
Hiyo picha inanifanya nikupite bila kukutambua. Aaah. Mambo ya mwisho wa dunia nini umeamua kujisitiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…