my new signature......

my new signature......

Wilbald everything kuna its better side and worse side... Unapojiingiza katika kitu chochote hata ukanunua kitu chochote ina maana umekubali mabaya na mazuri yake.... Marriage has to be tolerated even for the worse - but there are lines once crossed hata toleration hapa haina maana for you may die physically as well as psychologically....
kwa hiyo unakubaliana na signature yangu?
 
Kwa hiyo mmeo akiwa mlevi,akirudi anakudunda,hela ya kula hatoi,matusi kibao,lakini so long as unajua kwamba yeye kwenye 6x6 ni mahiri sana na una enjoy mpaka nywele zinasimama kwa hiyo uta tolerate upuuzi wake eti kwa kuwa una 'enjoy' majamboooz? maana hapa tunaongelea 'anything'

:biggrin1::biggrin1:
 
Mimi naona kuna issue itakua imetokea kwake anataka ajue atoletate au assepe.... ngoja tuone where we are going....
umejuaje? au wewe ndo mrithi wa sh Yahya(RIP)?
 
lol... lol... lol... I love it Bishanga.... Huo mtazamo sijui umewaza nini.. punguza hasira kaka...lol

Enways ngoja ni copy na ku-paste nilivyomjibu Wilbald;

... everything kuna its better side and worse side... Unapojiingiza katika kitu chochote hata ukanunua kitu chochote ina maana umekubali mabaya na mazuri yake.... Marriage has to be tolerated even for the worse - but there are lines once crossed hata toleration hapa haina maana for you may die physically as well as psychologically....

ndo mana kuna kusomeana 'riot act'.
 
kwa hiyo unakubaliana na signature yangu?


Bishanga hapo sasa kunitega.. mbona maelezo yangu yanajitosheleza... labda nikupe tofauti kati ya statement yako na yangu..

Ya kwako ime conclude moja kwa moja kua hamna kuvumilia kitu whereas ya kwangu inasema vumilia sana ila ikivuka mpaka na ikaonekana there is no turning back una acha ku tolerate... Hope umenipata..
 
Bishanga simkubali huyo baba pleeeeeeeease usiniweke katika sentensi moja na yeye...

Nilikuwa nasubilia kwa hamu sana jibu lako kutokana na quote ya Bishanga Bashaija
:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
alllllaaaaaa!sasa umejuaje kuwa leo mambo yangu yako pindawima?


Nimehisi kwa sababu jinsi ilivyonielezea huyo mwanaume sifa zake mbovu akiwa fit katika secta moja ambayo pia ni muhimu... kuna ki trait cha hasira kilichotumika kua

  1. Unas hasira na mimi kutaka kumvumilia mtu wa namna hio - eti kisa tu yoko fit 6x6...
  2. Umeelezea vizuri kweli kwa ma filingi almosta as if mwanamama analalama na bcoz najua wewe ni mkaka ulitoa tu mfano wa mwanaume but ukilenga kuelezea mwanamke.... palikua na kihasira (nahisi si lazima uwe wewe mhusika but kuna mtu wako wa karibu - au ni kitu umefikiria saaana)
 
Kuna mtu kanionea Lizzy hapa?

Mkimwona mwambieni babu anamtafuta eti.
 
Nimehisi kwa sababu jinsi ilivyonielezea huyo mwanaume sifa zake mbovu akiwa fit katika secta moja ambayo pia ni muhimu... kuna ki trait cha hasira kilichotumika kua


  1. Unas hasira na mimi kutaka kumvumilia mtu wa namna hio - eti kisa tu yoko fit 6x6...
  2. Umeelezea vizuri kweli kwa ma filingi almosta as if mwanamama analalama na bcoz najua wewe ni mkaka ulitoa tu mfano wa mwanaume but ukilenga kuelezea mwanamke.... palikua na kihasira (nahisi si lazima uwe wewe mhusika but kuna mtu wako wa karibu - au ni kitu umefikiria saaana)

Kool down mamii
Sidhani kama B alifika kwenye maana hiyo
 
Nimehisi kwa sababu jinsi ilivyonielezea huyo mwanaume sifa zake mbovu akiwa fit katika secta moja ambayo pia ni muhimu... kuna ki trait cha hasira kilichotumika kua


  1. Unas hasira na mimi kutaka kumvumilia mtu wa namna hio - eti kisa tu yoko fit 6x6...
  2. Umeelezea vizuri kweli kwa ma filingi almosta as if mwanamama analalama na bcoz najua wewe ni mkaka ulitoa tu mfano wa mwanaume but ukilenga kuelezea mwanamke.... palikua na kihasira (nahisi si lazima uwe wewe mhusika but kuna mtu wako wa karibu - au ni kitu umefikiria saaana)
wapi wanatoa phd za psychoanalyis nikaku enroll?
 
Back
Top Bottom