my new signature......

my new signature......

LOL! ...hapo utakuwa unaingiza conditions wakati -love is unconditional-... Yataka moyo!


Katika ulimwengu wa sasa ukijifanya umetia ngumu na love is unconditional the only big thing you end up with is HIV/AIDS...
 
Hilo ndo kanisa la wapi?

Babu usijifanye umezeeka mno.
Kanisa letu hili hapa

20-Unusual-Churches-PII-saint-michel-dAiguilhe-chapel.jpg



Kauli Mbiu yetu hii hapa


funny-church-sign.jpg



Ratiba ya wiki hii hapa


funny-church-sign.jpg
 
Yes babu....
naomba uanze rasmi kumkemea huyo Sipiyu asimsogelee partner wangu maana kachoka kunichezea mimi sasa anataka mjukuu mwingine!!

Hivi kweli jamani mapenzi yote yale ni kukuchezea??
Nitake radhi
:dance::dance::dance:
 
Yes babu....
naomba uanze rasmi kumkemea huyo Sipiyu asimsogelee partner wangu maana kachoka kunichezea mimi sasa anataka mjukuu mwingine!!

Nifanyaje ujue bado nakupenda jamani??
:dance::dance::dance:
 
SIPIYU embu acha uswahili bwana....hujui kwamba kwa partner wangu NO means NO??!Unamboa ujue...yani hata ushemeji hataki tena!!

Yaani hapa naendeleza libeneke mpaka Lizzy arudi chumbani
Maana kakimbilia Toilet ili afungua JF kwa mobile baada ya leo kumzidishia dozi ya MAPENDO
Eti anakaa muda mrefu ili nijue ana tumbo

The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post:

Asha D (Today), CPU (Today)​
 
Hivi kweli jamani mapenzi yote yale ni kukuchezea??
Nitake radhi
:dance::dance::dance:
Kama yangekua mapenzi sasa hivi ungekua hapa umenikumbatia badala ya kumsumbua shemejio!Wewe ndo unatakiwa unitake mimi radhi...sijui hata kwanini nilikupenda!!
 
Kama yangekua mapenzi sasa hivi ungekua hapa umenikumbatia badala ya kumsumbua shemejio!Wewe ndo unatakiwa unitake mimi radhi...sijui hata kwanini nilikupenda!!


The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:

Asha D (Today)​
 
Kama yangekua mapenzi sasa hivi ungekua hapa umenikumbatia badala ya kumsumbua shemejio!Wewe ndo unatakiwa unitake mimi radhi...sijui hata kwanini nilikupenda!!

Daaah
Kwahiyo unaona kama umeingia choo cha mbuzi??
Kweli sasa Asha D inapaswa ujionee kwanini namng'ang'ania
Maana partner wake hajui kwanini alinipenda???
 
Rudi nyumbani na uhamie chumbani!!

Hata nikirudi hata huongei, unanuna tu
Yaani appearance yako tu inanitisha
Nisije ambiwa nilitaka kukubaka wakati ulikubali mwenyewe mwanzoni, mwishoni ukakataa
 
Daaah
Kwahiyo unaona kama umeingia choo cha mbuzi??
Kweli sasa Asha D inapaswa ujionee kwanini namng'ang'ania
Maana partner wake hajui kwanini alinipenda???


Hajui kwanini anakupenda because humuoneshi nusu ya mapenzi ana deserve...
Una dai watasema una mb** but unasahau kwamba kila ukikutana nae
wajiangalia wewe tu bila kujali mwenzio kafika au vipi....
Hapo hapo CPU unamfanyia kusudi za kumtongoza rafiki na partner wake
wa karibu ambao wanaendesha kazi pamoja... tena bila hata kuficha na
bila hata ya heshima... ni kweli ni mabinti ambao tumefundwa tukafundika
maana Lizzy angekua ni mwanamke mwingine mwenye roho ndogo
na si muelewa wala hata asingekua anakuitia chumbani...

CPU nakusihi uwe na huruma baba yangu... walau mfikirie Mkeo Lizzy mlikotoka
mpaka mkafika hapa ... mmevuka mengi... leo hio wew na mkeo mmenikaribisha
vizuri alafu unataka nibadili nafasi yake... Mimi ni mwanamke pia tena mrembo
kama alivyo Lizzy wala hatutofautiani,,, Hivyo hata kama ningekua na chembe
ya kukupenda nisingekubali maana umeonesha huridhiki nami siku ya
mwisho utanifanyia ushe** huo huo.... Nani anataka hio na nina sweetie tayari???
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Hayo y Dr yaache kama yalivyo!
Nwy kuachana watu wanakataa kwamba hairuhusiwi mpaka mmoja afe!

Sasa jamani kama kuachana hairuhusiwi na ikifikia mume hapati kwa mke na mke hapati kwa mume, si ndio mwanzo wa uzinzi hapo? si bora waachane tu kila mtu akatazame maslahi yake kwingine? makubwa haya, kwani kuoana ni utumwa jamani? si ridhaa tu ya mtu? na mapenzi yakiisha si waachane kuliko kutesana? kila mmoja atafute pa kwenda. Haa mie babu sikubali, kama mzee hajaniona wiki labda awe safari au mgonjwa nta msameh, bila hivyo? anipe hakika yangu mpaka ntosheke laa sivyo hapakaliki, wallahi simuachi hata kwenda kazini na siku akishindwa na mie bado nadai ataniacha tu, khaa ya nini taabu na raha zipo. Lakini uzinzi sifanyi na namuomba mola anisitiri na ampe nguvu huyu mzee wangu usiku na mchana asichoke.
 
Daaah
Kwahiyo unaona kama umeingia choo cha mbuzi??
Kweli sasa Asha D inapaswa ujionee kwanini namng'ang'ania
Maana partner wake hajui kwanini alinipenda???

Sijui kwasababu karibu vyote nilivyopenda kwako vimetoweka...upole umekua ukatili...mapenzi yamekua machungu...hakuna cha utulivu...uvumilivu wala uelewa!!!


Partner asante sana kwakumpa somo huyu Sipiyu asiye wangu tena...
 
Sijui kwasababu karibu vyote nilivyopenda kwako vimetoweka...upole umekua ukatili...mapenzi yamekua machungu...hakuna cha utulivu...uvumilivu wala uelewa!!!
Partner asante sana kwakumpa somo huyu Sipiyu asiye wangu tena...


Usijali Partner kikubwa tusikate tamaa, mana ukifanisha na guys wengine yeye afadhali kwa kweli sema tu dhaifu lake ni kumtamani shem wake... other wise he is a good guy... mi naomba tuongeze tu nguvu ya kumuelewesha....
 
Hajui kwanini anakupenda because humuoneshi nusu ya mapenzi ana deserve...
Una dai watasema una mb** but unasahau kwamba kila ukikutana nae
wajiangalia wewe tu bila kujali mwenzio kafika au vipi....
Hapo hapo CPU unamfanyia kusudi za kumtongoza rafiki na partner wake
wa karibu ambao wanaendesha kazi pamoja... tena bila hata kuficha na
bila hata ya heshima... ni kweli ni mabinti ambao tumefundwa tukafundika
maana Lizzy angekua ni mwanamke mwingine mwenye roho ndogo
na si muelewa wala hata asingekua anakuitia chumbani...

CPU nakusihi uwe na huruma baba yangu... walau mfikirie Mkeo Lizzy mlikotoka
mpaka mkafika hapa ... mmevuka mengi... leo hio wew na mkeo mmenikaribisha
vizuri alafu unataka nibadili nafasi yake... Mimi ni mwanamke pia tena mrembo
kama alivyo Lizzy wala hatutofautiani,,, Hivyo hata kama ningekua na chembe
ya kukupenda nisingekubali maana umeonesha huridhiki nami siku ya
mwisho utanifanyia ushe** huo huo.... Nani anataka hio na nina sweetie tayari???

Sijui kwasababu karibu vyote nilivyopenda kwako vimetoweka...upole umekua ukatili...mapenzi yamekua machungu...hakuna cha utulivu...uvumilivu wala uelewa!!!


Partner asante sana kwakumpa somo huyu Sipiyu asiye wangu tena...

Jamani Jamani Asha D
Mbona leo mnanishambulia shosti wako??
Najua unampenda sana partner wako, lakin kama unampenda kweli utamlinda.
Hivi umemuangalia Lizzy na mambo anayofanya tena kwa vitendo kabisa???
Unajua unapaswa umuangalie kwa JICHO LA 3???

Yeye anatoka na Kloro au Uporoto LIVE tena mbele yangu wanaenda zao nisipokujua, lakin mi nimetulia tuliii
Na cha kushangaza hata wewe unaejiita PARTNER wake hata kukohoa ulishindwa, achilia mbali kumsema kama unavyonifanyia mimi hapa
Au unataka kusema u-parter wenu ni pamoja na kufichiana makosa yenu??

Unajua undani ya thread aliyoanzisha partner wako iitwayo UPOLE???
Natungiwa mpaka thread kwamba nimezidi UPOLE na ameshajisema wazi yeye HAPENDI WAPOLE
Anajua Sipiyuu ni mpole sana, hata nimkute na Uporoto Bar wanapigana mabusu wala simsemi lolote.
Au una ajenda ya siri na patner wako??? Najua una kaka bachelor na sasa naona kila dalili za wewe kunishambulia mbele ya halaiki ili nionekane sifai wala sijui kupenda, na iwe njia rahisi Lizzy aje kwa kaka ako sio???

Usihangaike sana jamani Asha D
Lizzy kwenye thread yake ya UPOLE ameshanisema vya kutosha
Na kama vile haitoshi hapo juu amerudia tena "SIPIYUU ASIYE WANGU TENA"
NA shoga mtu ukaamua kunimaliza kabisa kwa kuniambia ninamfanyia ushe*** partner wako

Mi nipo tayari kumuachia aje kwa kaka ako bila kinyongo.
Nitamuachia ili wawe huru zaidi na kaka ako waponde raha za dunia bila kificho, kwani mwanzoni walijificha kuniogopa
Mie mpole, niliyeumbwa mpole, naongea kiupole sina la kufanya tena. Nitapaki na upole wangu kwani siwezi kuubadlilisha (amenipa Mungu)
Naomba nikuruhusu rasmi kwamba, mwambie kaka ako kwamba sasa hana kizuizi tena kujirusha na Lizzy anaetamka wazi CPU SIO WAKE TENA.

Eeeh Mungu wasamehe wadada hawa, kwani hawajui walitendalo.
Nihurumie mja wako ninaeonewa na wanadamu nipate aliye sawa na ulivyoniumba.
 
Mungu nisaidie mja wako, nasakamwa na wanadamu
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::crying::crying::crying::crying:
 
Back
Top Bottom