ceterius paribus
Member
- Feb 11, 2014
- 32
- 7
Ni kuku wa kienyeji.wenye umri wa miezi minne..nawafuga kiasili kabisa(organically)tunawalisha chakula tulichotengeneza wenyewe..tunawapa majani kila siku..majani tunayowapa ni majani ya mpapai,kisamvu,lusina,mlonge..na wanapoumwa tunatumia madawa ya asili kama aloe vera,mnyaa,katani na muarobaini..MUNGu akijaalia baada ya miezi miwili wataanza kutaga.wako kuku mia hamsini.mitetea mia thelathini,majogoo ishirini.karibuni sana