My photo album: A unique collection

Wao wanaioka kwa kutumia unga wa ngano isiyokobolewa na kuipaka mafuta kidogo sana kabla ya kuitia kwenye tanuru , kwahiyo iko tafauti sana na chapati zetu za kibongo .
Ili kuifaidi yatakiwa uwe na mboga yoyote ya kusukumia kuanzia maharage, rosti ya nyama, maini au mboga za majani.
Wao saa nyingine huila pamoja na siagi ya kienyeji lakini mimi ilinishinda!.
Kwa wamisri mikate hiyo ndio chakula chao kikuu kama ilivyo ugali kwa watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…