No kissing baby iliyoimbwa na patorankingWeka listi yako ya nyimbo ambazo siku haiwezi kuisha bila kuzisikiliza.
Mimi playlist yangu ni hii..
>> Mr Eazi -Hollup
>> Mr Eazi -Sample you
>> Dj spinal ft Mr Eazi -Ohema
>>Designer -Panda.
>>Meek miil ft Big sean & Asap ferg -Bboy
>>Kwesta ft Cassper Nyovest -Ngud'
>>Rich Gang ft Young thug- lifestyle
>>Iyaz Breath
>>Dr Sid ft Korede Bello-Flawles
>>Diamond platinum ft neyo -Marry you.
>>Major league Djz ft Cassper Nyovest -Zulu girl
>>Falz -Soft work
>>Gentries ft Young D &Bele 9 -Chapaa
>>K.o ft Magz &MaE -One time.
>>Keishia Cole -Sent from heaven.
>> Dah pressure -Nivumilie.
Hizo ndio ngoma zangu ambazo kama sikuzisikiliza siku inaisha vibaya na lazima nizisikilize.
Weka zako na wewe
☆☆☆☆Mondraymondray☆☆☆☆
hata if ya davidoMad over you ndio ipo bomba zaid nimesahau kuiweka kwa listi.
Sisi ledio ilikua kwa Diwani.Mtaa wa saba by mbaraka mwisheshe
Colonisation by madilu
Ndoa ndoano by msondo ngoma
Jojina wa mama by marijani rajabu
Jirani by twanga pepeta
Mtaji wa maskini by banza stone
Young africa by pepe kale
daah mjukuu wangu Mondray umenikumbusha mbali sana tena sana enzi hizo redio ilikuwa kwa chifu pekee
Sisi ledio ilikua kwa Diwani.
Ulisikiliza hizi?
Mama na Bela
Ndomboro
Gauo
From congo kipindi hicho
Ulikua unaishi Interior.Umesahau kwasa kwasa za kanda bongo man aah hizo za kisasa na mitoko ya yondo sister. Enzi hizo diwan hakuwepo,diwani wa nn wakati balozi ndio boss wa mtaa bila kusahau mwenyekiti.