My playlist: Taja nyimbo ambazo siku haiwezi kuisha bila kuzisikiliza.

Jaman msaada plz, kuna old skul flan ivi siikumbuki, ila msanii kaimba akiisifia 'zanzbar' yuko na wadada ktk kiitikio, kwenye kiitikio wadada wanaitikia 'zanzibar' mwenye nayo
 
Wakuu mimi naomba kama kuna mwenye ule wimbo unaopigwaga radio free kipindi cha sitosahau, unasema nimekusamehe lakini sitokusahau, anitumie plz. Natanguliza shukrani.
 
Jaman msaada plz, kuna old skul flan ivi siikumbuki, ila msanii kaimba akiisifia 'zanzbar' yuko na wadada ktk kiitikio, kwenye kiitikio wadada wanaitikia 'zanzibar' mwenye nayo
Hata mm naijua. Ila kujua wimbo ndio sijui try znz hivo hvo pengine utapata
 
Uongo
 

Kila baada ya muda zikichuja nafuta na kutupia zingine. Kuna zile za Wenge Music huwa sizifuti, zinabaki kama makumbusho ya umri wangu
 
Could be loved... We ndio sala kabla ya kutoka kitandan na kabla sijapata usingizi usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…