My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

Ilikuepo ikipindi Cha nyuma Kwa asili ya maandiko ya Quran ni yapi?
We dogo mbona hujibu swali unakwepa nani kawambia mfate ukristo Yesu? Na nani kawambia wayahudi wafate Uyahudi Mussa? Usilete story nyingi we kwanini basi usiwe Buddhism ambayo ilikuwepo kabla ya ukristo? Si we unajidai ukristo ulikuwepo kabla ya Uislam? Sa mimi na kuambia Uislam official ulitangazwa rasmi na Mtume Muhammad, lakini Mitume wote walikuja na ujumbe wa Kislam kuwa Mungu ni mmoja tu ndiye anaye takiwa kuabudiwa.
 
Dada kufupisha story tu jibu kwanini mudi kakopy maandiko ya wayahudi na kusema ameshushiwa?
 
Mtume alikuwa anapewa reference na Malaika Gabriel
Ahahahaaha!!!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Mohamed angekuwepo leo akakopi Gazeti la Uhuru au Mzalendo mngesema hakukopi bali ni Malaika Gabriel ndiye aliyempelekea🀣🀣
 
Iran itasambaratisha huu uchumi wa Saudia na watu watagundia kuwa walikuwa wanachezewa akili tu siku zote hizi kumbe Mungu hayupo hapa.
 
Dada kufupisha story tu jibu kwanini mudi kakopy maandiko ya wayahudi na kusema ameshushiwa?
Mimi tatizo situmii mashoga ama sivyo ningekuonyesha mkono wa mtoto.

Mtume Muhammad kitabu chake ni bora kuliko cha Wayahudi na Wakristo vipi awe ka copy, nenda katafute mabasha unaonyesha mgonjwa.
 
Ahahahaaha!!!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Mohamed angekuwepo leo akakopi Gazeti la Uhuru au Mzalendo mngesema hakukopi bali ni Malaika Gabriel ndiye aliyempelekea🀣🀣
Leteni bibilia na taurati wapi imefanana na Qur'an acheni uwongo.Ukiweza niletea robo ya bibilia inafanana na Qur'an itakuwa ajabu kubwa sana hivyo hivyo na taurati. Qur'an ni level ingine.

Mungu alisha toa challenge leteni kitabu kama Qur'an kama mnaweza kashirikianeni na majini pia hamuweza kuleta Surah kama za Qur'an.


View: https://youtu.be/i687i5D1H2k?si=ORygos2EYT-FJHpi

View: https://youtube.com/shorts/3YyTYhD5Bb4?si=fGqZH3u_yQvMr0eB
 
Mimi tatizo situmii mashoga ama sivyo ningekuonyesha mkono wa mtoto.

Mtume Muhammad kitabu chake ni bora kuliko cha Wayahudi na Wakristo vipi awe ka copy, nenda katafute mabasha unaonyesha mgonjwa.
Sawa aunt side maana umeamua kuitazangaza kazi yako hadharani sema watu kama wewe SI huwa tunawabandua tu
 
Sawa aunt side maana umeamua kuitazangaza kazi yako hadharani sema watu kama wewe SI huwa tunawabandua tu
We ushoga una kusumbua unadhani watu wote wasio kubandika ni madada au mashoga wenzako upo unapapasa humu πŸ˜„

Afu mashoga kama nyie huwa nawawacha na ujinga wao, nikiendelea kuongea na mashoga takuwa fala tu.

Kuanzia leo sikujibu sababu nimeisha kuona huna unalo lijua zaidi ya ushoga
 
Sawa aunt idd endelea kuinadi kazi yako utapata basha
 
Leteni bibilia na taurati wapi imefanana na Qur'an acheni uwongo.Ukiweza niletea robo ya bibilia inafanana na Qur'an itakuwa ajabu kubwa sana hivyo hivyo na taurati. Qur'an ni level ingine.
Noah na Safina ni Biblia Quruani ikaiga Nuhu na Safina.

Moses na Farao ni Biblia Quruani ikaiga Mussa na Firauni.

Na visa vingine vingi kweli kweli😁
 
Noah na Safina Biblia Quruani ikaiga Nuhu na Safina.

Moses na Farao Biblia Quruani ikaiga Mussa na Firauni.

Na visa vingine vingi kweli kweli😁
Hao ni Mitume nilisha kuambia Mitume wote wamekuja na message moja, Mungu ni mmoja tu na Qur'an lazima 'itawaelezea story zao hao Mitume wa Mungu. na pia mikasa walio kutana noa. Nipe wapi Qur'an ili mkopi Paulo au ilimtaja Paulo ilicho point kuna watu walikuja wakaharibu mafunzo ya Yesu, na huyo ni mmoja wao Paulo πŸ˜„
 
Hao ni Mitume nilisha kuambia Mitume wote wamekuja na message moja
Muhammed kakopi kwenye Bible na Swala 5 kakopi kwenye Dini ya Zoroastra 😁.

Hakuna Jipya ndio maana Uisilamu una ugomvi na Dini zote.
 
HAWA NYUMBU HAWAJIELEWI
 
Muhammed kakopi kwenye Bible na Swala 5 kakopi kwenye Dini ya Zoroastra 😁.

Hakuna Jipya ndio maana Uisilamu una ugomvi na Dini zote.
Nipe kitu gani ka copy kwenye Bible? Bibilia zinasema Yesu ni Mungu au mtoto wa Mungu je Qur'an inasema hivyo πŸ˜„

Hiyo dini kusali mara tano kama Waislam kosa liko wapi si na wao wanamtukuza Mungu ni mmoja tu au na wao kama nyie 1=3
 
Huna Akili, nimekutajia Story za Moses na Noah zilizikopiwa halafu unazidi kuuliza ushahidi?? Acha kujaza serves za JF.
Nilisha kujibu bora niwe sina akili kuliko kushindana na mjinga hafahamu umemjibu nini, unakwepa maswali si nimekueleza Qur'an inasema leteni Surah moja tu kama ya Qur'an mmeshindwa leo miaka zaidi ya 1440 karibu. Kalale nyie hamna dini hakuna dini inaitwa ukristo kwa Mungu au Uyahudi. Kimbilia Mirembe ukawahi kitanda chako kisibebwe na wengine
 
Maybe utakuwa uko sahihi mtoa mada, who knows
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…