My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† swali langu ...kama Allah anapalinda mbona Juhayman alipavamia na kukaa Wiki moja na ushee mbona Allah asimzuie Juhayman?!

Uongo wako umefika ukingoni๐Ÿ˜†
Swali alibaki au aliondolewa sa kukaa wiki moja ndio nini. Niletee alitawala Makkah akabaki pale ndio mtawala unaniletea hadithi za mtu kichaa eti kavamia Makkah kwa wiki. Sa alivamia Makkah kwa nia ipi si abaki kutawala pale alitawala? Muongo wewe hujui nini mana ya accident. Ni sawa sawa na nyie mnasema Yesu ni mtoto wa Mungu vipi aliruhusu waisrael wampige chain msalabani basi si mnasema alikufa siku tatu, kwa hio Mungu hakumlinda Yesu kwa ujinga wenu๐Ÿ˜„
 
We tule tu accident twa hapa na pale tukitokea ndio unataka Mungu azuie, kuna vitu vingine Mungu anaruhusu vitokee ili kupima imani za waislam
Kaaba inalindwa na mungu.
Kitu kibaya chochote hakiwez kutokea kaaba.
Ila kitu chochote kibaya kikitokea kaaba ni mungu anawapima waislamu.

This is called circular reasoning, it doesn't make sense at all, ni kawaida yenu kuwa na apologetic excuses kama hizi, sishangai!
 
Iran atakuwa na nyuklia vizuri tu na ataungana na russia, turkey, na nchi zingine za kiislam kutaka kuifuta Israel na hapo ndo utakuwa mwisho wao
 
Karbala na Najaf imeifunika makkah.

Unabisha?
 
Walio muondoa ni jeshi la Saud Arabia hao Wafaransa vipi waende huko wakati wakristo. Dalilili zote zinasema ni jeshi la Saud Arabia hilo la France sijui kama liliwasaidia sina dalili hizo.

Kwa hio Mtu akichukua sehemu kwa week mbili kinguvu ndio Mungu hapalindi pale sa mbona hakukaa huyo kichaa.
 
Huyo Jamaa kalewa Dini.
 
Sasa wewe mmatumbi wa kimbiji na savu lachore unaumia wapi....?? Ili hali wewe sio suni wala Shia wa kiarabu........wewe ni Cheusi mangala wa suni au shia
 
= Makkah.
 
Baadaa ya zayuni mashoga zake kuchezea kichapo na kuona makubaliano ya Saudi Arabia na Iran kufanya mazoesi ya kijeshi pamoja. tegemea kila aina ya fitna na unafik.

Ulioletwa hapa na mleta mada ni unafik tu. Haijsalishi Makkah ipo chini ya nani mradi awe Muislam tu, Waislam waende wakahiji tu, tosha kabisa.

Sioni tatizo lolote hapo.
 
Mtume Muhammad (s.a.w) alishasema zama za mwisho uislam utagawanyika madheheb takriban 70 na waislam watakao fanikiwa kuipata pepo ya Allah ni wale watakaoshika Qur'an na sunnah za mtume na maswahaba zake, sasa kwa muislam wa kweli unaemuamini mtume Muhammas(S.A.W.) unapaswa kukubaliana na hilo... na Allah ni mjuzi zaidi wa mambo yote.
 
Hakuna kitu wanachoogopa mazayuni na washoga zao wa kimagharibi kama Waajemi kupatana na nchi za Kiarabu.

Lazima itumike divide and rule kutoka kila pembe.
 
Bila nguvu ya USA, Prince Salman ni hamna kitu pale.
 
Hakuna kitu wanachoogopa mazayuni na washoga zao wa kimagharibi kama Waajemi kupatana na nchi za Kiarabu.

Lazima itumike divide and rule kutoka kila pembe.
Marekani ni wajanja sana. Walivyoona mnapenda sana hizi imani za kusadikika wao wakapita humo humo.

Wanajua kuwakataza itakuwa ngumu sasa wao wakapita humo humo kudumisha kitovu cha imani na sasa wamefungua madangulo na mabaa ya Pombe.

The Once Called Holy place for Hijjah
 
Sasa ndio umeongea nini?! Kila siku nakuambia wahi Mirembe.
Kwa kuwa wewe ni kichaa nataka kukufamisha hivi, Mungu sio lazima apigane au akulinde yeye direct. anaweza kutuma jeshi au nchi hio au nchi nyingine kupalinda hio sehemu isizurike.

Sawa sawa na mtu akikosa chakula sio lazima Mungu ashuke yeye kumlish, anafanya watu wamuonee huruma yule mtu ili wamsaidie.

Tatizo nyie ni vichaa mnaelewa nini zaidi ya kuabudu binadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ