My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

Walio muondoa ni jeshi la Saud Arabia hao Wafaransa vipi waende huko wakati wakristo. Dalilili zote zinasema ni jeshi la Saud Arabia hilo la France sijui kama liliwasaidia sina dalili hizo.

Kwa hio Mtu akichukua sehemu kwa week mbili kinguvu ndio Mungu hapalindi pale sa mbona hakukaa huyo kichaa.
Huoni hata aibu kuongea hizi pumba?
 
Marekani ni wajanja sana. Walivyoona mnapenda sana hizi imani za kusadikika wao wakapita humo humo.

Wanajua kuwakataza itakuwa ngumu sasa wao wakapita humo humo kudumisha kitovu cha imani na sasa wamefungua madangulo na mabaa ya Pombe.

The Once Called Holy place for Hijjah
Hiolo mbon sagfi sana, wamewapunguzia safari na kunywa pobe haramu?

Mwenye imani na dini haya, mwenye imani na shetani haya.

Silioni tatizo hapo.Naona ndiyo imani ya dini inazidi.

Si kama Tanzania tu, ukipenda bar nenda, ukipenda msikiti nenda, ukipenda kanisa nenda. Hatujaiona misikiti kupunguwa watu.
 
Baadaa ya zayuni mashoga zake kuchezea kichapo na kuona makualiano ya Saudi Arabia na Iran kufanya mazoesi ya kijeshi pamoja. tegemea kila aina ya fitna na unafik.

Ulioletwa hapa na mleta mada ni unafik tu. Haijsalishi Makkah ipo chini ya nani mradi awe Muislam tu, Waislam waende wakahiji tu, tosha kabisa.

Sioni tatizo lolote hapo.
Makualiano - Makubaliano
 
Kwa kuwa wewe ni kichaa nataka kukufamisha hivi Mungu sio lazima apigane au akulinde yeye anaweza kutuma jeshi.
Allah kama ana nguvu kama unavyodai asingengoja Wafaransa waje kuukomboa Msikiti yeye angetuma Radi na Malaika na Upepo mkali ulioambatana na Umeme.

Ati Allah hana nguvu anategemea atume Binadamu😆😆😁
 
Kabla ya Uisilamu hiyo Makka ilikuwa ni eneo la Wapagani na Masanamu yao ya Al Uzzah Laat na Manaat huo Msikiti wamezulumiwa wapagani ndio maana Allah haulindi au Allah anapenda Zuluma?!
Kichaa upagani mpaa leo upo huyo mtoto wa mfalme wa Saud Arabia ananua picture la kuchorwa kwa bei ya mabillion huo ni upagani, wewe ni mpagani unaye abudu binadamu.

Makkah walikuwepo hata Tanzania walikuwepo sa ajabu ipo wapi.

Bibilia yenu inawambia Jiwe takatifu lipo kwenye nchi takatifu nyie bakini na ujinga wenu.
 
Kichaa upagani mpaa leo upo huyo mtoto wa mfalme wa Saud Arabia ananua picture la kuchorwa kwa bei ya mabillion huo ni upagani, wewe ni mpagani unaye abudu binadamu.
Kununua Picha ya MonaLisa ni Upagani?! Au ni Investment we jamaa una Shule ndogo sana Upstairs.
 
Allah kama ana nguvu kama unavyodai asingengoja Wafaransa waje kuukomboa Msikiti yeye angetuma Radi na Malaika na Upepo mkali ulioambatana na Umeme.

Ati Allah hana nguvu anategemea atume Binadamu😆😆😁
Allah huwa akiamua huwa anatandika wote washenzi na watu wema, ndio mana huwa hapigi mara moja anawapa fursa wengine watumie akili kabla hajatandika vichaa kama nyie na kuwadhuru watu wema.

Fatilia mara nyingi sana anatandika washenzi wanao abudu binadamu na ngo'mbe, hata wana muabudu Yeye anatandika ili wasiwe wananyamaza kuacha ujinga unaendelea na wao wamenyamaza.
 
Kama wao wanaona maisha duniani ni bora sana kuliko yajayo na wafutike tuu wamelewa mambo ya kidunia lile ni eneo takatifu hata wakitolewa pale si dhamana yao lile ni eneo la waislam wote dunian wasaudi ni wanafiki sana Uislam hauna sunni wala shia ni mbwembwe tu wanafanya hao wasaudi na ni verry arrogant kama mazayuni tu
sasa hapo mzayuni kaingia vipi😅
 
Kununua Picha ya MonaLisa ni Upagani?! Au ni Investment we jamaa una Shule ndogo sana Upstairs.
Kama sio upagani ni nini, hilo picture la Monalissa litamsaidia nini? Wakati hizo pesa angesaidia masikini angepata faida siku za kuhukumiwa na Mungu kuwa alisaidia masikini . Sa we mwenye akili za mirembe hilo picture linamsaidia nini? Nikisema wewe hazikutoshi unabisha.

Hilo picture ni upagani kama wewe unavyo muabudu mtu aliye kufa hakusaidii lolote.
 
Kama wao wanaona maisha duniani ni bora sana kuliko yajayo na wafutike tuu wamelewa mambo ya kidunia lile ni eneo takatifu hata wakitolewa pale si dhamana yao lile ni eneo la waislam wote dunian wasaudi ni wanafiki sana Uislam hauna sunni wala shia ni mbwembwe tu wanafanya hao wasaudi na ni verry arrogant kama mazayuni tu
Aliyeanzisha uislamu alitokea wapi kwani? Mpaka useme ni dini ya wote? Hiyo ni dini ya wasaud. Wewe ni fuata upepo tu. Babu zako walisali misituni
 
Kwahiyo Allah alisababisha Earthquake Iran Turkey na Afghanistan na kuua maelfu ya Watoto Kinamama nk ambao ni Waisilamu wenzake.

Huyo Allah atakuwa ni Serial Killer.
Kwa upumbafu ukizidi unatakiwa ujiepushe nao, sa ukibaki unawatazama bila kuwakataza na wewe unatandikwa tu, afu huko mbele Allah atamua yeye akupeleke motoni au peponi.

Mungu ni mwema lakini wema ukizidi vichaa wanazidi, ni lazima awatie adabu.


Kwa hio wewe unadhani kila wanao kufa wameonewa sio. Kuna vifo vingine ni kheri kuliko kuishi na binadamu wanao amini binadamu ni Mungu.

Hao walio kufa Turkey, Iran na Afghanistan inawezekana ni kheri kwao si ajabu wangebaki duniani wangeteseka si ajabu hata watoto wao wasinge wajali au wangesumbuka na maradhi.

Hivi wewe hauta kufa? Sa kufa toka lini kukawa kosa unless uwe umeuwa au umeuliwa na binadamu. Kufa kwa earthquake au mafuriko au kama wanavyo uliwa huko watoto Gaza au vitani hio inaweza kuwa bora kwao kuliko kuishi duniani.
 
Huwa sikisii.

Hata Yesu wamembadili jina, usifikiri ni wajinga, wanafanya hao kwa maana yao.
Jina la yesu "yehshua" hawajali badili, different translation means different letters and pronunciation, ni kama vile John na Yohana, ni jina moja but different language.
 
Kwa upumbafu unatakiwa ujiepushe sa ukibaki unawatazama bila kuwakataza na wewe unatandikwa tu afu huko mbele Allah atamua yeye akupeleke motoni au peponi.

Mungu ni mwema lakini wema ukizidi vichaa wanazidi, ni lazima awatie adabu.


Kwa hio wewe unadhani kila wanao kufa wameonewa sio. Kuna vifo vingine ni kheri kuliko kuishi na binadamu wanao amini binadamu ni Mungu.

Hao walio kufa Turkey, Iran na Afghanistan inaerzekana ni kheri kwao si ajabu wangebaki duniani wangeteseka si ajabu hata watoto wao wasinge wajali au wangesumbuka na maradhi.

Hivi wewe hauta kufa? Sa kufa toka lini kukawa kosa unless uwe umeuwa au umeuliwa na binadamu. Kufa kwa earthquake au mafuriko au kama wanavyo uliwa huko watoto Gaza au vitani hio inaweza kuwa bora kwao kuliko kuishi duniani.
Wahi Mirembe Mental Hospital
 
Jina la yesu "yehshua" hawajali badili, different translation means different letters and pronunciation, ni kama vile John na Yohana, ni jina moja but different language.
Wamembadili wanamwita Jesus.

"Translation" ya jina?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom