my special dedication to my Wife to be

Heheheeeiyaaa...kumbe ulikuwa Manchesita sema basi tu ukaamua kujivunga kidogo

Kirahisi rahisi haikubaliki, unapima kwanza 'how high can he jump for you' ...lol


Haiba ya mtoto wa kike hiyo ati...lol!

Baeleze baelezeeeee ....sio mtoto wa kike jamaa kakwambia "unamacho mazuri" siku hiyo hiyo, ushasema hakuna kama huyu!
 
Dah naona makamnda wangu mshateka li sridi la Jpinduzi..lol
 
hehehe kwa hiyo hapa ni kufungukiana sio?
Ngoja nimtafutie BHT mashairi ya Binti Seif

Kwa hisani ya watu wa Marekani tunamba walau utumbukize na maneno mawili matatu ya Kiingereza humo ndani. Si unajua lugha ya kigeni inakuwa inakubalika zaidi .......sijui vile hatujui maana yake sawa sawa?!
 
Kwa hisani ya watu wa Marekani tunamba walau utumbukize na maneno mawili matatu ya Kiingereza humo ndani. Si unajua lugha ya kigeni inakuwa inakubalika zaidi .......sijui vile hatujui maana yake sawa sawa?!
Hivi nikitaka kukwambia "nimekumiss mwalimu wangu" kwa kiinglishi inakuwaje hapo?
 
hehehe kwa hiyo hapa ni kufungukiana sio?
Ngoja nimtafutie BHT mashairi ya Binti Seif
Laana Meku...sasa unifungukie mm dadaako tena?
Halafu kufungukiana kwa kiswahili haikubaliki.....
 
Laana Meku...sasa unifungukie mm dadaako tena?
Halafu kufungukiana kwa kiswahili haikubaliki.....
Mshiki kumbe?? mi sikujua hilo mi nilijua ni kufunguka tu, hata kwa mwalimu wangu nafunguka tu!
kumbe sivyo?
 
Mshiki kumbe?? mi sikujua hilo mi nilijua ni kufunguka tu, hata kwa mwalimu wangu nafunguka tu!
kumbe sivyo?
Sio hovyo hovyo tu Meku...
Fuata mfano wa Jmapinduzi...mwenye sredi
 
Bee hebu tupe ma-experience yako, hujawahi kuandikiwa kwani dedication?
 
....
.....kila la kheri!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…