My Theory juu ya waumini kufungishwa saumu hadi kufa na mchungaji huko Kenya, its financially Motivated

My Theory juu ya waumini kufungishwa saumu hadi kufa na mchungaji huko Kenya, its financially Motivated

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Utaahira aliowafanyia waumini wake huyu mchungaji wa huko Kilifi Kenya ukishawahi kufanywa Uganda na mtu anaeitwa Kibwetere.

Financial gains are at the heart of these ludacris acts! Kibwetere aliwaambia waumini wake wakiandae kwenda mbinguni siku flani ya tarehe fulani, hivyo wauze kila kitu chao na kupeleka pesa kaniasani.

Kweli bhana, yake mataahira yakauza majumba yao, magari, viwanja, wakakwangua pesa benki, wakauza kila kitu chao hadi chupi na kumpelekea pesa zote Kibwetere, Billions and Bilions zilipelekwa na waumini takriban 500.

Sasa jamaa baada ya kuona keshaweka kibindoni Jackpot Bingo ya maana, akaenda ibadani na kuwaambia waumini wafumbe macho na wasifumbue, hadi watakapofika mbinguni ndio wafumbue macho. Basi jamaa akatoka na kuwafungia milango waumini wote ndani ya kanisa na kulichoma moto, zaidi ya watu mia tano (pengine watoto wakiwemo, inaumiza nyieee) , wakatapa tapa kwa maumivu makali yasio mithilika, wakaungua na kuwa mikaa kwa mateso makali. Kibwetere akatajirika na kutokomea. Hadi unajiuliza, Mungu yupo kweli?!

Sasa huyu wa Kenya yeye kafanya kitu kile kile kwa style nyingine. Bila shaka, na ni imani yangu, hapa kuna similar circumstances zinazohusisha gross financial benifits na motives juu ya hili. Kwamba kawaaguza wauze kila kitu na pesa wakamtolee mungu, halafu walipoemda kanisani eti wafunge hadi kufa ndio waende mbinguni, yeye akijua wazi na bila shaka kwamba hakuna binadamu anaweza kuvumilia maumivu makali ya njaa willingly hadi kufa, either akawapulizia dawa ya sumu au akawanywesha maji ya baraka yenye sumu au dawa ya usingizi, kisha akawazika hai.., ili aindoke na mali zao.

Mimi nipo tayari kubet kiasi chochote cha pesa, hata mke wangu nitamuweka bondi, kwamba hakuna binadamu anayeweza kujiua kwa njaa willingly, haiwezekani. Njaa inauma nyie, njaa inauma jamaniii, hivi mnaijua njaa nyie.., yaaaaani njaaaaa?! No way..., niiitwe mbwa , na sijakaa pale, nimekaa hapa hapa...

Polisi wa Kenya wasikubali ku-buy that ridiculous, childish, senseless version of the story..., in short hayo ni mauaji ya halaiki..., its pure murder..!!!
 
Hata bongo wakiambiwa watafanya, kuna waumini wa manabii fulani wa mchongo huwaambii kitu kuhusu manabii wao wanafanya chochote manabii hao wanachosema km kubeba mchanga kupeleka huko kwenye Makanisa yao wakazindike nyumba zao zisiingiliwe na vibwengo, nk jamàa wa Kenya amekosea pakubwa sana akamatwe afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia nafaka kisha atoswe baharini
 
Swala la kibwetere ni mseven ndo aliwaua watu ebu fanya reference vizuri Uganda ndo nyumbani kwetu.
 
Swala la kibwetere ni mseven ndo aliwaua watu ebu fanya reference vizuri Uganda ndo nyumbani kwetu.
Heeee, mi nilikuwa mtoto wakati sakata la Kibwetere linatokea, ila hii kali, mbona habari hazikuwa hivyo?
 
Sulala la Kibwetere lilikuwa.. anachukua hela anapeleka kwa Joseph Kony kwa siri sana...

Sasa special force ya Museven kwa siri kubwa wakamvizia Kibwetere ndani ya kanisa na kupiga kiberiti..

Na pia walivamia baadhi ya vijiji wakachoma mto mashamba na mifugo yenye kuhusisha kanisa la Kibwetere.. Maana walikuwa wanasupply chakula kwenye kambi ya Joseph Kony
 
Sulala la Kibwetere lilikuwa.. anachukua hela anapeleka kwa Joseph Kony kwa siri sana...

Sasa special force ya Museven kwa siri kubwa wakamvizia Kibwetere ndani ya kanisa na kupiga kiberiti..

Na pia walivamia baadhi ya vijiji wakachoma mto mashamba na mifugo yenye kuhusisha kanisa la Kibwetere.. Maana walikuwa wanasupply chakula kwenye kambi ya Joseph Kony
Nchi zina Siri nyingi sana, inaelekea sisi watu wa kawaida tunaaminishwa uongo mwingi
 
Inabidi serikali kufatilia Hawa watumishi wa michongo hata mfalme zumaridi naye ana waumini tahira akiamua kufanya lolote she can
 
Sulala la Kibwetere lilikuwa.. anachukua hela anapeleka kwa Joseph Kony kwa siri sana...

Sasa special force ya Museven kwa siri kubwa wakamvizia Kibwetere ndani ya kanisa na kupiga kiberiti..

Na pia walivamia baadhi ya vijiji wakachoma mto mashamba na mifugo yenye kuhusisha kanisa la Kibwetere.. Maana walikuwa wanasupply chakula kwenye kambi ya Joseph Kony
Halafu wakaanda propaganda na hii Kenya waweza Kuta Kuna kitu maana haimake sense kabisa
 
Nchi zina Siri nyingi sana, inaelekea sisi watu wa kawaida tunaaminishwa uongo mwingi
Mkuu usione viongozi wamependeza mbele ya halaiki...
Kuna siri nyingi sana hatujui... Na tunazojua ni asilimia 5 tuuuu... Tena kwa bahati mbaya
 
Mkuu usione viongozi wamependeza mbele ya halaiki...
Kuna siri nyingi sana hatujui... Na tunazojua ni asilimia 5 tuuuu... Tena kwa bahati mbaya
Daaah, yaani hilo swala la Kibwetere kumbe ndio ilikuwa hivyo?! Mbona tunadanganywa sana, yaani taarifa inakuja miguu juu kichwa chini...
 
Ndo uamini kuwa wajinga hawakosekani hapa duniani.

Na kutwa wanaenda kujazana huko hasa hapa bongo.

Inasikitisha sana.


Ndo maana nataka kubadili dini kuwa muislam au myahudi basi
Sasa bila Wajinga kuwepo, Wajanja wataishi vp Maisha haya!!??
 
Na wewe unaamini hadithi ya Kibwetele?

Museven ndio Kibwetele halisi, Kibwetele aliuwawa yeye pamoja na waumini wake, kule ndio ilikuwa Ngome ya Joseph Kony na influence kubwa ya ten commandments.
Kibwetele mpaka leo yupu hai familia yake inakula raha alikimbilia sudani baadae akarudi yupo masaka kajee tele,tungoje misukule mingine kufa pale pekasi iko siku
 
Back
Top Bottom