FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu ongezeni nyama hii storySwala la kibwetere ni mseven ndo aliwaua watu ebu fanya reference vizuri Uganda ndo nyumbani kwetu.
Huyo ndo wale wale akiambia na Mchungaji ameze shoka anaweza kumezaKuna limoja jana tunabishana kwenye kijiwe cha kahawa linasema kuna aina mbili za kuitawala mali uliyoichuma Duniani! Moja kuicha duniani ialibiwe/inajisiwe na uliowaacha maana wataitumia kadiri ya maono yao, Mbili: Kuitanguliza mbiguni kwa Mungu ili ukifa uikute kule peponi iwe ni fahari inayokuzunguka siku ukitwaliwa. Nikamuuliza unaitanguliza vipi kwa Mungu? Likajibu unaipeleka mbele ya madhabahu ya Bwana na Kuhani wa Mungu(mchungaji,nabii,mwalimu au askofu) ataiwakilisha mbele za Bwana kwa niaba yako maana yeye ndiye agent!
Niliishia kusema Mungu wajalie akili ya utambuzi hawa kondoo wanaopotea
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
We acha masikhara, mtu mzima mwenye akili timamu kaongea hayo kabisa?!!!Kuna limoja jana tunabishana kwenye kijiwe cha kahawa linasema kuna aina mbili za kuitawala mali uliyoichuma Duniani! Moja kuicha duniani ialibiwe/inajisiwe na uliowaacha maana wataitumia kadiri ya maono yao, Mbili: Kuitanguliza mbiguni kwa Mungu ili ukifa uikute kule peponi iwe ni fahari inayokuzunguka siku ukitwaliwa. Nikamuuliza unaitanguliza vipi kwa Mungu? Likajibu unaipeleka mbele ya madhabahu ya Bwana na Kuhani wa Mungu(mchungaji,nabii,mwalimu au askofu) ataiwakilisha mbele za Bwana kwa niaba yako maana yeye ndiye agent!
Niliishia kusema Mungu wajalie akili ya utambuzi hawa kondoo wanaopotea
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Karibu kwenye Uislamu mkuu nipo tayari kukufundisha mengi yanayohusu UislamuNdo uamini kuwa wajinga hawakosekani hapa duniani.
Na kutwa wanaenda kujazana huko hasa hapa bongo.
Inasikitisha sana.
Ndo maana nataka kubadili dini kuwa muislam au myahudi basi
Unaanza kufunga lini hadi ufe?ukiwa na roho ya kidunia huyu makenzie hauwezi kumwelewa,lakini ukiwa na roho kubwa utamwelewa,ni kweli dunia imefika mwisho,ndoa ya jinsia moja, na vita ya tatu imefika....china vs usa
nimefunga mwaka mzima lakini sifi,sijui kwa nini!!!!!Unaanza kufunga lini hadi ufe?
Msiidharau bange kiasi hicho..[emoji28][emoji28][emoji28]
Wavuta Bange wote ni ma genius.. Yani wako smart in their own ways
Huyu labda kapiga double kick..
Kumbe wapo kweli asiee...Kuna limoja jana tunabishana kwenye kijiwe cha kahawa linasema kuna aina mbili za kuitawala mali uliyoichuma Duniani! Moja kuicha duniani ialibiwe/inajisiwe na uliowaacha maana wataitumia kadiri ya maono yao, Mbili: Kuitanguliza mbiguni kwa Mungu ili ukifa uikute kule peponi iwe ni fahari inayokuzunguka siku ukitwaliwa. Nikamuuliza unaitanguliza vipi kwa Mungu? Likajibu unaipeleka mbele ya madhabahu ya Bwana na Kuhani wa Mungu(mchungaji,nabii,mwalimu au askofu) ataiwakilisha mbele za Bwana kwa niaba yako maana yeye ndiye agent!
Niliishia kusema Mungu wajalie akili ya utambuzi hawa kondoo wanaopotea
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hii Dunia imejaa wajinga Kweli Kweli,dah!Hao watu waliofunga wakafa mbona wajinga sana, afadhali hata ya Mimi niliyewekezaga kalynda
Ila kuna taarifa imepatikana kwamba walikuwa wanafungishwa kwa lazima, na wakitaka kutoroka wanauwawa, wengi sana wameuwawa walipojaribu kutoroka kutafuta chakula, aliweka walinziOf course natamani wajinga kama hawa wote wafie kwa wachungaji waio hivi ni mungu gani uyo wakumona na njaa
Ni chai mkuu.ww changanya na za kwakoHili la kibwetere limenitoa ushamba,sijui kweli au chai